-
Maandamano ya vijana yamlazimisha Ruto kuweka kando Muswada wa Fedha 2024
Jun 26, 2024 11:35Rais William Ruto wa Kenya amesema kwamba hatatia saini Muswada wa Fedha 2024 kuwa sheria. Ni baada ya maandamano makubwa ya siku kadhaa yaliyofuatiwa na mauaji ya waandamanaji mjini Nairobi jumanne ya jana.
-
Makumi ya askari wauawa katika shambulio la kigaidi Niger
Jun 26, 2024 08:20Askari wasiopungua 20 wa jeshi la Niger wameuauwa katika shambulio la 'muungano wa makundi ya kigaidi' magharibi mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la Kenya kuingia mtaani kukabiliana na waandamanaji
Jun 26, 2024 03:54Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama vitaingia mitaani ili kuhakikisha vinalinda usalama wa watu na mali zao dhidi ya waandamanaji wanaofanya kile alichokiita uhalifu.
-
Kikosi cha MONUSCO chaondoka rasmi Kivu Kusini
Jun 26, 2024 03:53Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa, MONUSCO hatimaye kimefungasha virago vyake na kuondoka Kivu Kusini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Watu 10 wameuawa Nairobi wakati polisi ilipowafyatulia risasi waandamanaji waliovamia bunge
Jun 25, 2024 23:21Watu 10 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa jana Jumanne wakati polisi walipowafyatulia risasi mamia ya waandamanaji waliovamia majengo ya bunge jijini Nairobi, mji mkuu wa Kenya, kupinga sheria ya iliyopitishwa na wabunge ya kuongeza ushuru.
-
HRW yataka kutumwa ujumbe wa UN nchini Sudan ili kuwalinda raia
Jun 25, 2024 22:49Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kufanya kazi na Umoja wa Afrika haraka iwezekanavyo ili kutuma ujumbe wa kulinda raia nchini Sudan.
-
Wabunge Kenya walazimika kutorokea kwenye afisi zao, sehemu ya Bunge yateketezwa kwa moto
Jun 25, 2024 10:55Wabunge wa Kenya wamelazimika kukimbilia kwenye afisi zao zilizoko Bunge Towers baada ya waandamanaji wanaopinga ushuru kwenye Muswada wa Fedha 2024 kuvamia majengo ya Bunge.
-
Mamia ya askari polisi wa Kenya watumwa Haiti licha ya ukosoaji
Jun 25, 2024 07:12Askari polisi 400 wa Kenya wameelekea nchini Haiti leo Jumanne kwa ajili ya kwenda kulinda usalama na kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Caribbean.
-
Kenya yaruhusu kufanyika maandamano kwa masharti
Jun 25, 2024 04:14Kithure Kindiki Waziri wa Usalama wa Ndani wa Kenya amewataka vijana wanaoandamana kupinga Muswada wa Fedha wa 2024 kuimarisha amani na usalama, kutobeba aina yoyote ya silaha kutakiwa kuondoka katika maeneo ya mikusanyiko ifikapo saa kumi na mbili jioni.
-
Rais Ruto: Niko tayari kuwashirikisha vijana katika suala la muswada wa fedha
Jun 24, 2024 22:58Rais wa Kenya William Ruto amesema yuko tayari kuwashirikisha vijana katika juhudi za kulitafutia ufumbuzi suala la muswada wa fedha nchini humo. Msimamo huo wa kiongozi huyo umekuja baada ya kushuhudiwa maandamano makubwa yaliyoitikisa nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa siku kadhaa sasa.