-
Mamia waandamana Senegal wakitaka nchi yao kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israel
Jun 24, 2024 22:58Mamia ya wananchi wa Senegal wameandamana na kutoa wito kwa nchi yao kukata uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.
-
Watu 7 wauawa, 100 watekwa nyara kaskazini mwa Nigeria
Jun 24, 2024 06:44Genge moja la wabeba silaha limevamia kijiji kimoja huko kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua watu wasiopungua saba, mbali na kuteka nyara makumi ya wengine.
-
FAO yapata dola milioni 25 za kuboresha usalama wa chakula nchini Somalia
Jun 24, 2024 03:21Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, limetia saini mradi wa dola milioni 25 kwa ajili ya kuboresha usalama wa chakula nchini Somalia.
-
ANC: Vyama 10 vya kisiasa kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Afrika Kusini
Jun 24, 2024 03:21Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress (ANC) kimetangaza kuwa vyama 10 vya kisiasa vyenye viti Bungeni vimekubali kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na ANC (GNU).
-
Haftar akanusha kukipatia silaha kikosi cha RSF kinachopigana na serikali ya Sudan
Jun 24, 2024 00:06Serikali ya mashariki mwa Libya, ambayo haitambuliwi na jamii ya kimataifa imekanusha taarifa zinazodai kwamba, imekuwa ikiwapatia silaha wapiganaji wa RSF wanaoongozwa na Hamdan Dagalo katika vita vya ndani nchini Sudan.
-
Wanamgambo wa CODECO waua watu 23 mashariki mwa DRC
Jun 23, 2024 23:06Zaidi ya watu 23 wanaripotiwa kuuawa na waasi wa kundi la CODECO katika vijini kadhaa kwenye jimbo lenye utajiri mkubwa wa dhahabu la Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Sudan: Hatujawahi kuuomba msamaha Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati)
Jun 23, 2024 06:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imekanusha habari zinazodai kuwa Khartoum imeuomba radhi Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati) baada ya mwakilishi wa kudumu wa Sudan katika Umoja wa Mataifa kuishutumu Imarati kwa kuvisaidia vikosi vya RSF.
-
Kampeni za Uchaguzi Mkuu zinaendelea nchini Rwanda
Jun 23, 2024 05:49Kampeni zilizoanza jana Jumamosi nchini Rwanda zinaendelea huku wagombea watatu waliopasishwa baada ya mchujo wa walijiandikisha kugombea wakizindua kampeni zao katika sehemu mbalimbali za nchi hiyo.
-
Waasi wa Codeco wauwa raia zaidi ya 20 katika jimbo la Ituri, Kongo
Jun 23, 2024 04:10Waasi kwa jina la Codeco wanatuhumiwa kuua raia zaidi ya 20 katika kijiji kimoja katika jimbo tajiri kwa madini ya dhahabu la Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mahujaji 20 wa Morocco wapoteza maisha wakati wa Hijja nchini Saudi Arabia
Jun 22, 2024 23:16Serikali ya Morocco imetangaza kuwa, mahujaji 20 kutoka nchini humo wamefariki dunia kutokana na joto kali wakati wa ibada ya Hija ya mwaka huu nchini Saudi Arabia.