-
Iran itajibu haraka uchokozi wowote wa kijeshi kutoka Marekani, Israel
May 05, 2025 23:17Iran imelaani vikali vitisho vya karibuni kutoka Marekani na Israel kuhusiana na shambulio la kulipiza kisasi la Yemen dhidi ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu (Israel), na imeahidi kulinda mamlaka na uhuru wake dhidi ya tishio lolote au matumizi ya nguvu.
-
Haki ya Iran ya kurutubisha madini ya urani
May 05, 2025 23:13Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza msimamo wa muda mrefu lakini wa kisheria wa Iran kuhusu kuwa na haki ya kurutubisha madini ya urani.
-
Iran yawaonya maadui: Jeshi la Anga liko mstari wa mbele kujibu kitisho chochote haraka
May 05, 2025 08:41Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Hamid Vahedi amesema, kikosi hicho kiko mstari wa mbele kukabiliana haraka sana na tishio lolote dhidi ya nchi.
-
Meja Jenerali Salami: IRGC haitasalimu amri mkabala wa adui yeyote
May 04, 2025 22:54Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa jeshi hilo la SEPAH kamwe halitarudi nyuma na kusalimu amri mbele ya maadui wa Iran.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Hakuna maslahi makuu kwa Umma wa Kiislamu kuliko Umoja
May 04, 2025 08:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amesema kuwa lengo la Mwenyezi Mungu katika kwa kuweka ibada ya Hajj ni kuwasilisha kielelezo kamili na kinachoelekeza namna ya kuendesha maisha ya binadamu, na akaongeza: muundo na sura ya dhahiri ya ibada hii ni ya kisiasa kabisa, huku maudhui yake yakiwa ya kiroho na ya ibada, ili kuhakikisha manufaa kwa wanadamu wote.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran apanga kuzuru Pakistan
May 04, 2025 08:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anapanga kuzuru Pakistan na India wiki hii kama sehemu ya mashauriano yanayoendelea ya Tehran na nchi za kikanda huku kukiwa na mvutano baina ya nchi hizo mbili jirani.
-
Baqaei: Marekani na Magharibi zimehusika katika mauaji ya Israel ya waandishi wa habari huko Gaza
May 04, 2025 04:17Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amesema kuwa, mwenendo wa utawala wa Israel wa kuwalenga waandishi wa habari wa Kipalestina umewezeshwa na msaada usiosita wa waungaji mkono wake wa Magharibi, hususan Marekani.
-
Baqaei: Mashambulizi ya Israel dhidi ya "Meli ya Dhamiri " ni kitendo cha kigaidi dhidi ya usalama wa baharini
May 03, 2025 23:43Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, shambulio la ndege zisizo na rubani za utawala wa Israel dhidi ya meli iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Gaza ni jinai ya wazi dhidi ya watu wa Palestina na ni kitendo cha kigaidi dhidi ya usalama wa baharini.
-
Araghchi: Mienendo inayokinzana ya Marekani inazidisha kutoaminiwa diplomasia
May 03, 2025 08:24Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mienendo inayokinzana ya Marekani ndio sababu ya kuongezeka kutoaminiana katika uga wa diplomasia.
-
Sisitizo la Iran la kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya haki na yenye uwiano
May 03, 2025 07:29Kufuatia kuakhirishwa duru ya nne ya mazungumzo kati ya Iran na Marekani, Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Tehran imeazimia kufikia makubaliano ya haki na yenye mlingano kuliko wakati mwingine wowote.