-
Jibu la kulipiza kisasi la Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni lilitolewa kwa msingi wa sheria za kimataifa
Oct 05, 2024 22:53Licha ya kuwa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetekeleza Operesheni ya "Ahadi ya Kweli 2" kwa ajili ya kuonyesha uwezo wake wa kistratijia wa kuuadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel, lakini wakati huo huo ni wazi kuwa hatua hiyo iliyochukuliwa kwa ajili ya kulinda heshima ya taifa la Iran imefanyika kwa msingi wa sheria za kimataifa.
-
HAMAS yatoa shukrani kwa matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi katika Swala ya Ijumaa
Oct 05, 2024 09:00Mjumbe mmoja wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameshukuru matamshi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika khutba ya Sala ya Ijumaa kwa kutaja oparesheni za makombora za Iran dhidi ya utawala huo katili wa Kizayuni kuwa ni za kihistoria.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Lebanon ni 'hatua ya kijasiri'
Oct 05, 2024 02:41Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon Mojtaba Amani amesema safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi nchini Lebanon ilikuwa "safari ya kijasiri na yenye kuonyesha nguvu."
-
Iran yakanusha tuhuma za uongo kwamba Tehran inaingilia uchaguzi wa Marekani
Oct 05, 2024 00:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha tuhuma zinazodai kuwa Iran inaingilia uchaguzi wa rais wa Marekani, na kusema serikali ya nchi hiyo haina mamlaka ya kutoa tuhuma kama hizo.
-
Madai ya madola ya Ulaya kuhusu kutaka amani sambamba na kuunga mkono jinai za Israel
Oct 04, 2024 23:05Jibu halali la kijeshi la Iran dhidi ya vitendo vya kigaidi na kichokozi vya utawala ghasibu wa Israel liyafanya mataifa ya Ulaya kuhaha na sasa yanadai kuwa ni wapigania amani.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Usitishaji vita Lebanon na Gaza unapaswa kufanyika kwa wakati mmoja
Oct 04, 2024 23:04Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran inaunga mkono usitishaji vita kwa sharti kwamba, haki za wananchi wa Lebanon ziheshimiwe na kukubaliwa na Muqawama na kusema: Usitishaji huo wa mapigano unapaswa kuwa sawia na usitishaji vita huko Gaza.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Adhabu uliyopewa utawala wa Kizayuni na vikosi vya ulinzi vya Iran ilikuwa halali na ya kisheria
Oct 04, 2024 08:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema katika khutba za Sala ya Ijumaa ya leo kwamba, kwa kuzingatia kanuni za kiulinzi za Uislamu, Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu na sheria za kimataifa, kazi adhimu na ya kiustadi iliyofanywa na vikosi vya ulinzi vya Iran ya kuuadhibu utawala mnyonyaji damu wa Kizayuni ilikuwa halali kabisa na ya kisheria.
-
Sisitizo la Iran la kuweko mshikamano wa Kiislamu dhidi ya Israel
Oct 04, 2024 08:36Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya ulazima wa kuweko umoja na mshikamano wa Waislamu dhidi ya utawala mtendaji jinai na dhalimu wa Kizayuni wa Israel.
-
Onyo la Iran kwa waungaji mkono wa Israel; Kaeni mbali na vita
Oct 04, 2024 04:22Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amezionya nchi za Magharibi na waungaji mkono wengine wa Israel katika eneo dhidi ya kuingilia mzozo kati ya Jamhuri ya Kiislamu na utawala wa Kizayuni.
-
Iran yakosoa 'hujuma' ya Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa UN
Oct 04, 2024 03:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua ya karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.