-
Wall Street Journal: Makosa ya Marekani yameifanya Iran kuwa nchi muhimu kimataifa
Jul 01, 2024 04:47Jarida la Wall Street Journal la nchini Marekani limeandika katika ripoti yake mpya kwamba: Licha ya mashinikizo ya miongo kadhaa kutoka kwa nchi za Magharibi, lakini Tehran inaendelea kuwa tishio kwa maslahi ya Marekani kutokana na uhusiano wake mzuri na Russia na China.
-
Jenerali Safavi: Israel 'inayoporomoka' imeshindwa vibaya na muqawama
Jun 30, 2024 23:30Mshauri Mkuu wa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala kijeshi amesema mrengo wa muqawama umefanikiwa kuushinda na kuusababishia vipigo utawala wa Kizayuni ambao upo katika ncha ya kuporomoka na kusambaratika.
-
Iran ni namba moja Ulimwengu wa Kiislamu katika uzalishaji wa sayansi na teknolojia
Jun 30, 2024 22:53Kwa mujibu wa hifadhidata ya kimataifa ya "Web of Science," Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ya sita duniani na ya kwanza kati ya nchi za Kiislamu katika uzalishaji wa sayansi na teknolojia ya mtandao wa neva.
-
Iran yailalamikia Uingereza baada ya watu wenye chuki kuwahangaisha wapiga kura wa Iran
Jun 30, 2024 08:40Iran imeilalamikia vikali Uingereza baada ya watu wenye chuki na uhasama na mfumo wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kusumbua na kuwahangaisha wapiga kura wa Iran waliofika katika vituo vya kupigia kura katika nchi hiyo ya Ulaya, kwa lengo la kuvuruga uchaguzi wa 14 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Azma ya Iran na Libya ya kuimarisha uhusiano mzuri wa zamani
Jun 30, 2024 07:49Katika hafla ya kuwasilisha nyaraka zake za utambulisho kwa Mkuu wa Baraza la Rais la Libya, balozi mpya wa Jamjuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza utayarifu wa Iran wa kurejesha haraka uhusiano mzuri wa zamani uliokuwepo kati ya nchi mbili hizi za Kiislamu.
-
Walinzi wa Haram; waokozi wa Iran na eneo la Asia Magharibi
Jun 30, 2024 06:34Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Walinzi wa Haram ni tukio la kushangaza, muhimu na mojawapo ya madhihirisho ya mtazamo wa kiulimwengu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Wagombea 2 wa urais Iran kushiriki katika midahalo miwili
Jun 30, 2024 03:27Wagombea wawili wa kiti cha rais nchini Iran, Masoud Pezeshkian na Saeed Jalili wanatazamiwa kushiriki midahalo miwili ya urais kabla ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi huo.
-
Wanachama wa BRICS wasisitiza kupanua ushirikiano katika sekta ya kilimo
Jun 29, 2024 23:34Naibu Waziri wa Jihad ya Kilimo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mkutano wa 14 wa Mawaziri wa Kilimo wa nchi wanachama wa kundi la BRICS kuhusu kupanua ushirikiano kati ya nchi wananchama wa kundi hilo katika nyanja za kilimo.
-
Kazem Gharibabadi: Marekani inaangalia haki za binadamu kwa jicho la utashi wa kisiasa
Jun 29, 2024 22:45Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran ameashiria utashi wa kisiasa wa Marekani katika suala la haki za binadamu na kusema kuwa, Washington imevaa vazi la kutetea haki za binadamu lakini kimsingi inalitumia hilo kufikia malengo yake ya kisiasa.
-
Uchaguzi wa rais wa Iran waingia duru ya pili; Pezeshkian kuchuana na Jalili
Jun 29, 2024 09:26Matokeo rasmi na ya mwisho ya duru ya 14 ya uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati wa Iran yanaonesha kuwa zoezi hilo litaingia katika duru ya pili.