-
Rais wa Iran asisitiza kukuza ushirikiano wa pande mbili na Pakistan
Apr 22, 2024 23:39Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza udharura wa kukuza ushirikiano kati ya Tehran na Islamabad katika nyanja mbalimbali.
-
Juhudi kubwa za Iran za kupunguza umaskini na kuongeza ustawi katika jamii
Apr 22, 2024 09:50Takwimu mpya zilizochapishwa na Benki ya Dunia zinaonyesha kuwa, umaskini mutlaki umepungua kwa kiasi kikubwa nchini Iran katika miaka ya hivi karibuni.
-
Rais wa Iran aendelea na ziara ya siku mbili nchini Pakistan kuboresha usalama na mahusiano ya kibiashara
Apr 22, 2024 08:57Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anaendelea na ziara yake ya siku mbili nchini Pakistan kwa lengo la kuimarisha usalama na uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizi jirani.
-
Iran: Operesheni ya Ahadi ya Kweli imeonesha uratibu bora wa kidiplomasia na kijeshi nchini
Apr 22, 2024 08:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, uratibu baina ya chombo cha demokrasia na Komandi Kuu ya Vikosi vya Ulinzi vya Iran katika kutekeleza operesheni ya kuitia adabu Israel iliyopewa jina la "Operesheni ya Ahadi ya Kweli" umekuwa na matunda mazuri sana kwa Iran, kimataifa.
-
Rais wa Iran awasili Pakistan katika ziara ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara na usalama
Apr 22, 2024 03:12Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili katika mji mkuu wa Pakistan Islamabad katika ziara rasmi ya kikazi yenye lengo la kuimarisha usalama na uhusiano wa kibiashara kati ya nchi mbili.
-
Mufti Mkuu wa Russia: Kiongozi Muadhamu wa Iran anastahiki kupongezwa
Apr 21, 2024 23:02Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu ya Russia amesema kuwa, mwito unaotolewa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei wa kuwataka watu wote duniani kuthamini masuala ya kidini na kimaadili unastahiki kupongezwa.
-
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika matukio ya hivi karibuni
Apr 21, 2024 08:45Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Vikosi vya kijeshi vimeonyesa taswira nzuri ya uwezo na mamlaka yao, na pia taswira yenye kupongezwa ya taifa la Iran, sambamba na kuthibitisha kuibuka kwa uwezo wa irada wa taifa la Iran katika uga wa kimataifa.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman: Vita Ukanda wa Gaza visitishwe haraka iwezekanavyo
Apr 21, 2024 04:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mwenzake wa Oman wamesisitiza juu ya haja ya kutekelezwa juhudi za kimataifa ili kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni, kufikiwa mapatano ya usitishaji vita na kutumwa haraka misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Gaza.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wafanya mazungumzo kwa njia ya simu
Apr 20, 2024 22:53Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini wamezungumza kwa njia ya simu na kujadili matukio ya hivi punde zaidi katika uhusiano wa pande mbili na hali ya eneo la Asia Magharibi, hususan baada ya jibu halali la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mashambulizi ya hivi karibuni ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni kwenye ubalozi wa Iran huko Damascus, Syria.
-
Iran yaitoza Marekani faini ya dola bilioni moja kwa kuunga mkono jinai za utawala wa Kipahlavi
Apr 20, 2024 22:49Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitoza Marekani faini ya dola bilioni moja kwa kuunga mkono jinai za utawala wa Kipahlavi uliokuwa madarakani Iran kabla ya Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979.