-
Raisi: Uamuzi wa Afrika Kusini wa kuishtaki Israel unasifiwa na wapigania uhuru
Jan 26, 2024 07:42Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza yanapongezwa na kusifiwa na watu wote wanaopigania uhuru na ukombozi.
-
Iran yasisitiza kuwa utawala wa Kizayuni lazima usitishe mauaji ya kimbari Gaza
Jan 26, 2024 04:32Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameisitiza juu ya kusitishwa mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Raisi: Msingi wa uhusiano wa Iran na Afrika ni maslahi ya pamoja
Jan 25, 2024 07:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Iran na Mali pamoja na nchi nyingine za Afrika si wa kisiasa na kidiplomasia tu, bali umejengeka katika msingi wa maslahi ya pande mbili na pande kadhaa.
-
Makubaliano ya Iran na Uturuki ya kuinua kiwango cha mabadilishano ya kibiashara baina yao
Jan 25, 2024 07:53Iran na Uturuki zimetoa taarifa ya pamoja mwishoni mwa safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Iran nchini Uturuki na kusisitiza azma ya nchi hizo ya kuinua kiwango cha ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi, kibiashara na kiutamaduni.
-
Marais wa Iran na Uturuki wasaini hati 10 za ushirikiano
Jan 25, 2024 03:36Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zimetia saini hati 10 za ushirikiano kwa lengo la kuzidisha uwekezaji, ushirikiano wa kiuchumi na masuala ya kieneo.
-
Mokhber: Kukuza uhusiano na nchi za Kiafrika ni mkakati mkuu wa Serikali ya Iran
Jan 24, 2024 23:58Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba stratijia kuu ya Serikali ya Iran ni kuendeleza uhusiano katika nyanja zote za kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni na nchi za Kiafrika.
-
Amir Abdollahian: Lengo la jeshi la Yemen ni kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel
Jan 24, 2024 07:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao chake na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuwa: Lengo la jeshi la Yemen katika kusimamisha meli zinazoelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) ni kusimamisha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza.
-
Iran yailaani Marekani kwa kuizuia UN kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel
Jan 24, 2024 03:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian ameilaani Marekani kwa kuuzuia Umoja wa Mataifa kutekeleza wajibu wake wa kushinikiza kusitishwa vita vya mauaji ya halaiki yanayoendelea kufanywa na utawala wa Israel dhidi ya wananchi wa Ghaza.
-
Amir Abdollahian: Iran imetoa ujumbe na onyo zito kwa Wamarekani
Jan 24, 2024 00:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa ujumbe na onyo zito kwa Wamarekani kwamba hatua yao ya pamoja na Waingereza katika Bahari Nyekundu dhidi ya Yemen ni kosa la kistratijia.
-
Gharadhi ya Pakistan na Iran ya kuimarisha ushirikiano
Jan 23, 2024 22:58Kuimarika kwa uhusiano wa Iran na Pakistan baada ya takribani saa 72 za mvutano kumeonyesha kwa mara nyingine tena kwamba, kuna dhamira kubwa ya pande zote mbili ya kudumisha uhusiano thabiti wa nchi hizi mbili jirani za Kiislamu.