-
Janga lingine; Kuporomoka kwa mfumo wa afya wa Gaza
Dec 31, 2024 10:48Msemaji wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ametangaza kwamba mfumo wa afya na matibabu wa Gaza umeporomoka, akisema: juhudi zote za shirika hili kwa ajili ya kuhifadhi mfumo wa afya katika Gaza zimeenda na maji.
-
Makumi ya wafanyakazi wa UNRWA wameuawa katika vita vya Gaza
Dec 31, 2024 09:13Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limetangaza kuwa, wafanyakazi 258 wa shirika hilo wameuawa katika Ukanda wa Gaza tangu kuanza kwa vita hivyo mwaka jana (2023).
-
Rais wa Algeria: Katu hatutaiacha mkono Palestina
Dec 31, 2024 08:33Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune amesisitiza kuwa, nchi yake katu haitaiacha mkono Palestina na kwamba, itaendelea kuliunga mkono taifa hilo madhlumu.
-
Wanajeshi wengine watano wa jeshi haramu la Israel wapelekwa jongomeo
Dec 31, 2024 08:32Wanajeshi wengine watano wa Israel wameangamizwa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya roketi la wanamuqawama huko Beit Hanoun na Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
HTS nchini Syria inawapa mamluki wa kigeni majukumu muhimu katika jeshi: Ripoti
Dec 31, 2024 04:12Watawala wapya katika nchi ya Kiarabu ya Syria wameripotiwa kuwaweka baadhi ya wanamgambo wa kigeni, wakiwemo Wauyghur, Wajordani, na Waturuki, kwenye vyombo vyao vya kijeshi.
-
Hizbullah ya Lebanon yamshukuru Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Dec 30, 2024 23:24Naibu Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amemshukuru Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kwa jinsi anavyoyapa umuhimu mkubwa masuala ya Ulimwengu wa Kiislamu yakiwemo wa Lebanon.
-
HAMAS yatumia droni iliyoiteka kutoka kwa Israel kuwatwanga Wazayuni
Dec 30, 2024 23:24Brigedi za Izzudin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza kuwa, zimetumia droni ziliyoiteka kutoka kwa wanajeshi wa Israel kuwashambulia wanajeshi hao vamizi na Wazayuni wenzao.
-
Wanajeshi wa Israel waendelea kupokea vipigo kutoka kwa wanamapambano wa Palestina
Dec 30, 2024 23:21Kundi la Saraya al-Quds, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina, limetangaza kwamba limefanikiwa kutoa kipigo kipya na kikali mno kwa wanajeshi makatili na vamizi wa Israel huko Ghaza.
-
UN yataka kusaidiwa mfumo wa afya wa Ukanda wa Gaza
Dec 30, 2024 08:52Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amebainisha wasiwasi wake kuhusu hujuma ya Israel katika hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Ukanda wa Gaza na kutaka kusaidia mfumo wa matibabu katika eneo hilo.
-
Wanajeshi 40 wa Israel waangamizwa kaskazini mwa Gaza
Dec 30, 2024 04:25Makundi ya muqawama ya Wapalestina yanaendelea na operesheni zao dhidi ya jeshi katili la Israel kwa kuvurumisha makombora zaidi kwenye ngome za utawala wa Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu.