Baraza la Seneti la Burundi kuchunga mashirika ya kigeni + Sauti
Sep 14, 2018 01:57 UTC
Baraza la Seneti la Burundi lina mpango wa kuyachunguza mashrika ya kimataifa yanayotoa huduma nchini humo kubaini iwapo yanasajili wafanyakazi wake kwa kuzingatia usawa wa kikabila na kijinsia kama inavyoagiza sheria ya nchi hiyo au la. Mwandishi wetu Hamida Issa na ripoti kamili...
Tags