Baraza la Seneti la Burundi kuchunga mashirika ya kigeni + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i48125-baraza_la_seneti_la_burundi_kuchunga_mashirika_ya_kigeni_sauti
Baraza la Seneti la Burundi lina mpango wa kuyachunguza mashrika ya kimataifa yanayotoa huduma nchini humo kubaini iwapo yanasajili wafanyakazi wake kwa kuzingatia usawa wa kikabila na kijinsia kama inavyoagiza sheria ya nchi hiyo au la. Mwandishi wetu Hamida Issa na ripoti kamili...
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Sep 14, 2018 01:57 UTC

Baraza la Seneti la Burundi lina mpango wa kuyachunguza mashrika ya kimataifa yanayotoa huduma nchini humo kubaini iwapo yanasajili wafanyakazi wake kwa kuzingatia usawa wa kikabila na kijinsia kama inavyoagiza sheria ya nchi hiyo au la. Mwandishi wetu Hamida Issa na ripoti kamili...