Wanafunzi wenye ulemavu walalamikia changamoto zinazowakumba Zanzibar + Sauti
Sep 23, 2018 13:43 UTC
Wanafunzi wenye ulemavu visiwani Zanzibar wamelalamikia changamoto wanazozipata wakati wanapokwenda mashuleni kutokana na kukosekana miundimbinu iliyo rafiki kwao. Mwandishi wetu Harith Subeit na ripoti kamili
Tags