Wanafunzi wenye ulemavu walalamikia changamoto zinazowakumba Zanzibar + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i48342-wanafunzi_wenye_ulemavu_walalamikia_changamoto_zinazowakumba_zanzibar_sauti
Wanafunzi wenye ulemavu visiwani Zanzibar wamelalamikia changamoto wanazozipata wakati wanapokwenda mashuleni kutokana na kukosekana miundimbinu iliyo rafiki kwao. Mwandishi wetu Harith Subeit na ripoti kamili
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Sep 23, 2018 13:43 UTC

Wanafunzi wenye ulemavu visiwani Zanzibar wamelalamikia changamoto wanazozipata wakati wanapokwenda mashuleni kutokana na kukosekana miundimbinu iliyo rafiki kwao. Mwandishi wetu Harith Subeit na ripoti kamili