Burundi waadhimisha Siku ya Makazi Dunia + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i48530-burundi_waadhimisha_siku_ya_makazi_dunia_sauti
Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya makazi, nchini Burundi siku hiyo imeadhimishwa kwa kuhamasisha raia kukabiliana na takataka zinazotoka majumbani. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi...
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Oct 02, 2018 07:05 UTC

Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya makazi, nchini Burundi siku hiyo imeadhimishwa kwa kuhamasisha raia kukabiliana na takataka zinazotoka majumbani. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi...