Burundi waadhimisha Siku ya Makazi Dunia + Sauti
Oct 02, 2018 07:05 UTC
Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya makazi, nchini Burundi siku hiyo imeadhimishwa kwa kuhamasisha raia kukabiliana na takataka zinazotoka majumbani. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi...
Tags