Zoezi la uandikishaji vitambulisho vya Mzanzibari Mkazi lakumbwa na malalamiko + Sauti
Oct 02, 2018 07:34 UTC
Zoezi la kusajili vitambulisho vya Mzanzibari Mkazi limekamilika katika mikoa ya Kusini na Kaskazini Unguja na hivi sasa linaendelea katika mkoa wa mjini Magharibi. Hata hivyo usajili huo umegubikwa na malalamiko ya baadhi ya wananchi wanaodai kwamba licha ya kuwa na haki ya kusajiliwa lakini wananyimwa haki yao hiyo. Harith Subeit ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
Tags