Kesi za uchaguzi Cameroon kuanza kusikilizwa leo Jumanne + Sauti
Oct 15, 2018 23:50 UTC
Tume ya Uchaguzi ya Cameroon (ELECAM) imesema kuwa, leo Jumanne Oktoba 16, 2018 ndiyo siku ya kusikiliza kesi za kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni. Matokeo yaliyovuja ya uchaguzi wa rais yanaonesha kuwa Rais Paul Biya ameshinda uchaguzi huo wa Oktoba 7 kwa zaidi ya asilimia 71 ya kura. Mossi Mwasi na maelezo zaidi
Tags