Wimbi la wakimbizi wa Kongo laleta matatizo nchini Uganda + Sauti
Oct 22, 2018 13:28 UTC
Idadi kubwa ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanazidi kumiminika katika nchi jirani ya Uganda na kusababisha matatizo mengi ya kuwahudumia. Kigozi Ismael na maelezo zaidi kutoka Kampala
Tags