Mahakama maalumu ya jinai yazinduliwa Jamhuri ya Afrika ya Kati + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i49003-mahakama_maalumu_ya_jinai_yazinduliwa_jamhuri_ya_afrika_ya_kati_sauti
Mahakama maalumu ya jinai za kivita imezinduliwa rasmi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo ni miongoni mwa nchi masikini zaidi duniani. Nchi hiyo ilitumbukia kwenye mgogoro wa kisiasa mwaka 2013 baada ya kuondolewa madarakani rais wa zamani wa nchi hiyo François Bozizé na waasi wa Seleka. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Oct 24, 2018 02:25 UTC

Mahakama maalumu ya jinai za kivita imezinduliwa rasmi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo ni miongoni mwa nchi masikini zaidi duniani. Nchi hiyo ilitumbukia kwenye mgogoro wa kisiasa mwaka 2013 baada ya kuondolewa madarakani rais wa zamani wa nchi hiyo François Bozizé na waasi wa Seleka. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...