Wauguzi kupigwa chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola nchini Uganda + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i49215-wauguzi_kupigwa_chanjo_ya_ugonjwa_hatari_wa_ebola_nchini_uganda_sauti
Wauguzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupigwa chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola nchini Uganda.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Nov 03, 2018 04:26 UTC

Wauguzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kupigwa chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola nchini Uganda.

Serikali ya Uganda imetangaza pia kuwa, imeazimia kuanza kutoa chanjo hiyo Jumatatu kwa wafanyakazi wake  wa huduma ya afya kama sehemu ya kupambana na maradhi ya Ebola. Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi Uganda homa hiyo ya kuvuja damu inayosababishwa na virusi hatari, kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mripuko wa Ebola. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala Uganda...