Mapigano ya kikabila DRC yazitia hofu asasi za kijamii + Sauti
Jun 19, 2019 22:06 UTC
Asasi za kijamii za jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimekumbwa na wasiwasi baada ya kuzorota hali ya usalama katika mkoa wa Ituri wa kaskazini mwa nchi hiyo kutokana na mapigano ya kikabila yanayoendelea. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka Brazzaville.
Tags