Bajeti za nchi za Afrika Mashariki na Kati na changamoto zake
Jun 18, 2016 06:41 UTC
Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC zimesoma bajeti zao huku zikiwa zinakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo kutoongezwa mishahara na kupandisha kodi za bidhaa mbalimbali. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kampala ametuandalia ripoti hii...
Tags