-
Walinzi wa Haram; waokozi wa Iran na eneo la Asia Magharibi
Jun 30, 2024 06:34Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Walinzi wa Haram ni tukio la kushangaza, muhimu na mojawapo ya madhihirisho ya mtazamo wa kiulimwengu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Kung'ang'ania vita bila ya malengo; jinai baada ya jinai nyingine
Jun 29, 2024 22:43Vita vinaendelea huko Ukanda wa Gaza huku jeshi linalokalia kwa mabavu (Israel) likikabiliwa na ukosefu wa shabaha na kushambulia sehemu yoyote bila malengo.
-
Uchaguzi wa rais wa Iran waingia duru ya pili, Wairani kupata rais mpya baada ya Ijumaa ijayo
Jun 29, 2024 04:37Matokeo rasmi na ya mwisho ya duru ya 14 ya uchaguzi wa rais wa kabla ya wakati wa Iran yanaonesha kuwa zoezi hilo limeingia katika duru ya pili.
-
Serikali ya Biden yakiri kudumisha siasa za vikwazo dhidi ya Iran
Jun 28, 2024 22:55Matthew Miller, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, alitangaza katika mkutano na waandishi wa habari siku ya Jumatano sambamba na siasa za undumakuwili za Washington kuhusu wananchi wa Iran, kwamba nchi hiyo ya imeweka vikwazo zaidi ya 600 dhidi ya serikali na mashirika ya Iran.
-
Macron aonya kuhusu uwezekano wa kutokea vita vya ndani nchini Ufaransa
Jun 28, 2024 08:57Katika mkesha wa uchaguzi wa mapema wa Bunge, Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameonya kuhusu uwezekano wa kupata ushindi makundi ya mrengo wa kushoto na kulia yenye misimamo ya kufurutu mipaka na kutokea vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
-
Siasa za kindumakuwili za Biden kuhusu vita vya Gaza
Jun 27, 2024 23:48Harrison Mann, afisa wa ujasusi katika jeshi la Marekani, ambaye alijiuzulu karibuni katika kupinga uungaji mkono wa Washington kwa utawala wa Kizayuni katika vita vyake vya mauaji ya umati dhidi ya watu wa Palestina huko Gaza, aliiambia Al Jazeera ya Qatar siku ya Jumanne usiku kwamba: "Kama usingekuwa uungaji mkono wa Marekani kwa Israel, vita vya Gaza visingeliendelea kwa nguvu hizi."
-
Kuongezeka kasi katika ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia
Jun 27, 2024 08:55Uhusiano na ushirikiano wa kistratijia kati ya Iran na Russia umeongezeka na kushika kasi zaidi katika siku za hivi karibuni, na sasa unaingia katika hatua mpya.
-
Kutoweka watoto katika Ukanda wa Gaza
Jun 26, 2024 22:59Kwa mujibu wa ripoti mpya zilizochapishwa na shirika la kimataifa linaloitwa "Save the Children", watoto wapatao elfu 21 wa Kipalestina wametoweka huko Ukanda wa Gaza, ambapo watoto elfu 17 wametenganishwa na familia zao kutokana na vurugu zilizosababishwa na vita, hasa operesheni za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni katika ukanda huo.
-
Ushiriki wa kiwango cha juu zaidi; mkakati wa kudumu wa Kiongozi wa Mapinduzi kuhusu uchaguzi
Jun 26, 2024 05:48Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria uchaguzi muhimu sana wa siku ya Ijumaa (28 Juni), na kusisitizia ushiriki wa kiwango cha juu kabisa wa wananchi na kuwataka wananchi wa taifa hili kujitokeza katika vituo vya kupigia kura Ijumaa ya keshokutwa ili kumchagua Rais mpya.
-
Tehran, mwenyeji wa Jumuiya ya Mazungumzo ya Ushirikiano wa Asia (ACD).
Jun 25, 2024 22:47Kikao cha 19 cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Mazungumzo ya Ushirikiano wa Asia (ACD) kilifanyika Jumatatu hapa mjini Tehran chini ya uenyekiti wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.