-
Kubainishwa misimamo ya Iran kuhusu haki za binadamu katika Mkutano wa Geneva
Feb 27, 2024 05:36Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasilisha misimamo na mitazamo ya Iran kuhusu haki za binadamu katika mkutano wa 55 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi.
-
Kauli moja ya mirengo ya kisiasa ya Iraq kuhusu wajibu wa kuondoka wanajeshi wa kigeni nchini mwao
Feb 26, 2024 23:01Qasim al-Araji, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq amesisitiza kuwa mirengo yote ya kisiasa ya nchi hiyo yanakubaliana kwa kauli moja kuhusu wajibu wa kuondoka wanajeshi wa kigeni nchini humo.
-
Kuendelezwa mauaji ya halaiki ya jeshi la Israel katika maeneo tofauti ya Ukanda wa Gaza
Feb 26, 2024 03:45Wapalestina wengine wameuawa shahidi kufuatia mashambulizi ya anga na mizinga ya jeshi katili la Israel linaloendeleza mauaji ya kimabari katika maeneo tofauti ya Ukanda wa Gaza.
-
Umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi mkuu kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 25, 2024 23:34Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni miongoni mwa shakhsia mashuhuri ambao daima wanasisitiza juu ya ushiriki mkubwa wa wananchi katika chaguzi tofauti zinazofanyika nchini.
-
Ukuaji wa uchumi sambamba na kupungua mfumuko wa bei nchini Iran
Feb 25, 2024 04:21Ripoti mpya ya Kituo cha Takwimu cha Iran inaonesha kuwa, ukuaji wa uchumi uliendelea kuimarika katika robo ya tatu ya mwaka huu licha ya kutekelezwa sera za kudhibiti mfumuko wa bei nchini.
-
Kuvunjwa UNRWA; Mpango wa upotoshaji wa Netanyahu kwa ajili ya kuepa kushindwa
Feb 24, 2024 22:57Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amewasilisha kwa kile kilichotajwa kama Baraza la Mawaziri la Usalama la utawala huo mpango wa kulivunja Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) ili kuepa taathira za kushindwa mbele ya makundi ya muqawama ya Palestina katika kipindi baada ya vita.
-
Mtazamo wa kiusalama wa maadui kuhusu uchaguzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Feb 24, 2024 05:49Ufuatiliaji na uchunguza wa mienendo na harakati za maadui kuhusu uchaguzi wa Machi Mosi nchini Iran unaonyesha kuwa wanautazama uchaguzi huo wa Bunge kwa mtazamo wa kiusalama.
-
Biashara ya dola bilioni 55 ya Iran yafelisha vikwazo vya maadui
Feb 23, 2024 22:42Thamani ya kiwango cha biashara baina ya Iran na nchi jirani imepindukia dola bilioni 55 ikiwa na maana kwamba, vikwazo vya upande mmoja vya Marekani vimefeli na vimeshindwa kuizuia Jamhuri ya Kiislamu kufikia malengo yake.
-
Idhini mpya ya Uingereza kwa Israel ya kuendeleza mauaji ya umati dhidi ya wananchi wa Palestina
Feb 23, 2024 04:57Uingereza ambayo ni moja ya waungaji mkono wakuu wa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina sambamba na Ujerumani na Marekani, hivi sasa imetoa idhini mpya kwa Israel ya kuendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina hasa wa Ghazza. Madola hayo matatu ya Magharibi ndiyo yaliyoko mstari wa mbele katika kuusheheneza silaha hatari utawala wa Kizayuni ili uzidi kuua raia wa Palestina hasa wanawake na watoto wadogo.
-
Ukosoaji wa Qatar dhidi ya Israel; Rekodi mpya ya waandishi wa habari waliouawa Gaza
Feb 23, 2024 00:01Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Qatar, Lolwah Al-Khater, ameeleza masikitiko yake kwamba: Israel imeweka rekodi ya kushambulia na kuua waandishi wa habari.