-
Mazungumzo ya kwanza ya simu baina ya Marais wa Iran na Misri; hatua ya kukuza uhusiano
Dec 24, 2023 04:44Jana Jumamosi, Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alizungumza kwa simu na Rais Abdel Fattah El Sisi wa Misri, ikiwa ni mara ya kwanza kwa marais wa nchi hizi mbili kuzungumza kwa simu na ikiwa ni katika sehemu ya juhudi za kufufua uhusiano wa pande mbili.
-
Jibu na indhari ya Iran kwa msimamo wa Russia wa kuunga mkono madai ya Imarati
Dec 23, 2023 23:01Mkutano wa Sita wa Baraza la Ushirikiano la Nchi za Kiarabu na Russia ulifanyika tarehe 20 mwezi huu wa Disemba mwenyeji akiwa ni Nasser Burita Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco; na kwa mara nyingine tena katika taarifa ya mwisho ya mkutano huo Imarati ikatoa madai kuhusu visiwa vitatu vya Iran, yaliyoungwa mkono na Russia.
-
Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi
Dec 23, 2023 04:48Ijumaa ya jana, Desemba 22, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio la kuongeza misaada ya kibinadamu kwa watu wa Ukanda wa Gaza bila kutoa wito wa kusitishwa mapigano. Marekani na Russia, wanachama wawili wa kudumu wa Baraza la Usalama, hazikulipigia kura azimio hilo. Wajumbe wengine 13 wamelipigia kura ya ndiyo.
-
Marekani yaikatisha tamaa Ukraine, onyo la Zelensky
Dec 23, 2023 02:50Kuendelea mvutano kati ya Warepublican na Ikulu ya White House juu ya kupasishwa msaada mpya kwa Ukraine, pamoja na kutoa kipaumbele Washington kwa vita vya Gaza na natija yake kusahaulika vita vya Ukraine, kumepelekea serikali ya Biden kuitahadharisha Kyiv kuhusu uwezekano wa kukatiwa au kupunguziwa kiasi kikubwa cha misaada yake.
-
Kuimarika uhusiano wa Russia na China, changamoto kubwa kwa mfumo wa Magharibi duniani
Dec 23, 2023 01:11Katika ziara yake nchini China, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuimarishwa uhusiano wa pande mbili ni kwa manufaa ya Moscow na Beijing.
-
Manuva ya pande tatu ya Korea Kusini, Japan na Marekani
Dec 22, 2023 05:58Korea Kusini, Japan na Marekani zimefanya manuva ya pamoja ya anga. Inasemekana kuwa zoezi hilo la kijeshi limefanyika katika kujibu jaribio la kombora la masafa marefu lililofanywa hivi karibuni na Korea Kaskazini katika anga ya Peninsula ya Korea.
-
Onyo la Macron kuhusu kuharibiwa Gaza na Wazayuni
Dec 21, 2023 22:59Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuangamizwa Ukanda wa Gaza kwa mashambulizi kipofu ya utawala haramu wa Israel huku mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina yakiendelezwa na utawala huo katili katika ukanda huo.
-
Kushtadi tofauti katika Baraza la Mawaziri la Netanyahu kuhusu kuendelea vita vya Gaza
Dec 21, 2023 06:54Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kutokea mvutano katika Baraza la Mawaziri la serikali ya utawala ghasibu wa Israel kuhusiana na vita vya Gaza.
-
Wajibu wa kibinadamu, kimaadili na kidini wa Wakristo kuhusu mauaji ya halaiki huko Gaza
Dec 21, 2023 04:36Katika siku ya 75 ya hujuma ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, jeshi la utawala huo limefunga kikamilifu hospitali ya al-Ma'madani na kuizuia kutolewa huduma za dharura kwa wagonjwa na majeruhi katika hospitali hiyo.
-
Dalili za usitishaji mpya wa mapigano huko Gaza katika siku ya 75 ya Kimbunga cha Al-Aqsa
Dec 20, 2023 23:35Katika siku ya 75 ya operesheni ya kimbunga cha al-Aqsa, utawala wa Kizayuni umeanzisha tena mashambulizi makali ya anga katika maeneo ya mashariki na kusini mashariki mwa Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza.