-
Mzunguko wa mauaji ya kimbari ya Israel kutoka kaskazini hadi kusini mwa Gaza
Dec 07, 2023 23:49Mashambulizi ya mabomu ya fosforasi katika kambi ya Jabalia na mapigano makali kati ya vikosi vya muqawama na wavamizi wa Kizayuni kusini mwa Ukanda wa Gaza ni miongoni mwa habari za hivi punde kuhusiana na Palestina.
-
Barua isiyo ya kawaida ya Guterres kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya Gaza
Dec 07, 2023 08:28Katika hatua isiyo ya kawaida, Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametumia mamlaka aliyopewa kisheria kupitia kifungu cha 99 cha Hati ya Umoja wa Mataifa kulishinikiza Baraza la Usalama la umoja huo lianzishe haraka usitishaji vita huko katika Ukanda wa Gaza.
-
Kujiondoa Niger na Burkina Faso katika kundi la nchi za Sahel ya Afrika
Dec 06, 2023 23:23Nchi mbili za Niger na Burkina Faso zimetangaza kujiondoa katika kundi la nchi za eneo la Sahel ya Afrika kufuatia matukio ya kisiasa katika baadhi ya nchi na kuongezeka tofauti baina ya nchi wanachama wa kundi hilo.
-
Katika mkesha wa kufanyika safari ya pili ya Rais Raisi nchini Russia
Dec 06, 2023 08:14Kesho Alhamisi, Rais Raisi Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huku akiwa anaongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi, ataondoka nchini kuelekea Moscow kwa mwaliko rasmi wa Rais Vladimir Putin wa Russia.
-
Israel kuanzisha tena vita kwailazimisha Yemen kuchukua hatua
Dec 06, 2023 05:30Hatua ya baraza la mawaziri lenye misimamo mikali la Netanyahu kukataa kukubali usitishaji vita wa kudumu kumeigharimu pakubwa Israel sio tu katika kuongeza vifo vya wanajeshi wake katika vita vya nchi kavu, bali pia katika kufungua tena pande mpya za vita dhidi ya utawala huo wa kibaguzi kutoka kusini mwa Lebanon hadi Golan ya Syria na Yemen.
-
Kiongozi wa Mapinduzi asisitiza juu ya kunufaika na uwezo wa pamoja wa Iran na Cuba
Dec 06, 2023 04:27Akizungumza Jumatatu alasiri hapa mjini Tehran na Rais Miguel Diaz-Canel wa Cuba na ujumbe aliofuatana nao, Ayatulla Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria fursa zilizopo katika nchi mbili na kusisitiza haja ya kutumiwa fursa na uwezo huo kwa manufaa ya watu wa nchi mbili.
-
Mauaji ya kimbari ya Wahazara wa Herat Afghanistan na kimya kisichoeleweka cha Taliban
Dec 05, 2023 23:16Malalamiko na mandamano ya wananchi wa jimbo la Herat yanaendelea kutokana na kuendelea kushuhudiwa ukosefu wa usalama na mauaji ya wanazuoni wa kidini hususan katika maeneo ambayo wakazi wake ni Waislamu wa madhehhebu ya Shia katika jimbo hili.
-
Iran na Cuba mbioni kuimarisha uhusiano wa kimkakati
Dec 05, 2023 05:54Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Cuba wametiliana saini hati 7 za ushirikiano zinazolenga kuimarisha uhusiano wa kimkakati baina ya pande mbili.
-
Kuendelea maandamano katika nchi za Kiislamu dhidi ya jinai za Israel huko Gaza
Dec 05, 2023 01:27Malalamiko na maandamano ya serikali na mataifa ya Kiislamu duniani bado yanaendelea kwa ajili ya kulaani kuendelea jinai za utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya raia wanaodhulumu wa Ukanda wa Gaza.
-
Marekani yakiri kushindwa suluhisho la kijeshi kwa mgogoro wa Ukraine
Dec 04, 2023 23:08Jenerali Charles Brown Jr, Mkuu wa Kamandi ya Pamoja ya Jeshi la Marekani, huku akibainisha kwamba vita daima humalizika kwa makubaliano ya kidiplomasia, amesisitiza kuwa mzozo wa Ukraine hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi.