-
Safari ya Mkuu wa Majeshi ya Iran nchini Iraq kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kijeshi
Dec 04, 2023 07:03Meja Jenerali Mohammad Bagheri, Mkuu wa Majeshi ya Iran, amefanya safiri ya siku tatu nchini Iraq.
-
Piga nikupige baada ya usitisjai vita wa muda katika Ukanda wa Ghaza
Dec 04, 2023 03:57Hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kushambulia kinyama kambi ya wakimbizi ya Jabalia katika Ukanda wa Ghaza kwa kutumia mabomu ya fosforasi na sambamba na kutumwa mabomu mapya kutoka Marekani kwa utawala huo ghasibu ni miongoni mwa matukio ya hivi karibuni kuhusiana na Palestina.
-
Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran
Dec 03, 2023 23:29Rais wa Jamhuri ya Cuba ambaye anangoza ujumbe wa ngazi ya juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake amefanya safari mjini Tehran kwa mwaliko rasmi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Walenga shaba wa Muqawama wanawasubiri wanajeshi wa Israeli
Dec 03, 2023 07:42Utawala wa Kizayuni ulianzisha tena mashambulizi yake katika maeneo mengi ya Ukanda wa Ghaza mara tu baada ya kumalizika usitishaji vita siku ya Alkhamisi, ambapo vikosi vya nchi kavu vya jeshi la Israel vinajiandaa kuingia katika maeneo mengine ya kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Waandishi wa habari; wahanga wa usimuliaji ukweli kuhusu jinai za Wazayuni
Dec 03, 2023 03:16Katika vita vilivyoanzishwa na Wazayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza, hadi sasa waandishi wa habari 73 wameshauawa shahidi kutokana na mashambulio ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni.
-
Kuendelea mashambulizi ya kigaidi huko Herat Afghanistan na maswali yasiyo na majibu
Dec 02, 2023 23:05Katika hali ambayo hazijapita siku nyingi tangu viongozi wa kieneo wa kundi la Taliban huko Herat na pia wakazi wa mji mkuu Kabul watoe ahadi ya kuwadhaminia wananchi usalama wao khususan Waislamu wa Kishia na maulamaa wao, mji wa Herat kwa mara nyingine tena umeshuhudia mashambulizi ya kigaidi dhidi ya Waislamu wa Kishia yaliyosababisha kuuliwa Maulamaa wao wawili.
-
Zelensky akosoa upuuzaji wa nchi za Magharibi kwa Ukraine
Dec 02, 2023 06:54Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amezikosoa nchi za Magharibi chini ya uongozi wa Marekani kwa kuisahau Ukraine na kuipunguzia misaada nchi hiyo katika vita na Russia.
-
Kuanza tena mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza
Dec 02, 2023 03:45Katika hatua iliyokuwa ikitazamiwa, utawala wa Kizayuni wa Israel meanza tena mashambulizi dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza baada ya kumalizika siku saba za usitishaji vita.
-
Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Kiongozi Muadhamu kuhusu Asia Magharibi na kadhia ya Palestina.
Dec 02, 2023 00:50Akizungumza siku ya Jumatano tarehe 29 Novemba katika kikao na askari wa kujitolea mashuhuri kama Basij kutoka pembe zote za nchi, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amegusia nukta kadhaa muhimu kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na stratijia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na kadhia ya Palestina.
-
Onyo la Moscow kuhusu kuendelea vita vya Ukraine mwaka 2024
Dec 01, 2023 04:29Licha ya kupita karibu miezi 22 tangu kuanza vita vya umwagaji damu nchini Ukraine, lakini hakuna matumaini yoyote yanayoashiria kumalizika mzozo huo hivi karibuni. Hii ni katika hali ambayo nchi za Magharibi kwa sasa zimeshughulishwa na vita vya Gaza na hivyo kutozingatia sana vita vya Ukraine, jambo ambalo limeipelekea serikali yenye mielekeo ya Kimagharibi ya Kyiv kukata tamaa kuhusu kupata misaada zaidi ya nchi hizo.