-
Vita vya Ukraine na Ghaza vinavyozidi kuyanufaisha makampuni ya silaha ya Marekani
Oct 30, 2023 04:13Vita nchini Ukraine vinaendelea sambamba na kuongezeka mashambulizi ya kinyama ya Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza huko Palestina huku ripoti zikisema kuwa, viwanda vya kuzalisha silaha vya nchini Marekani vinafaidika mno na vita hivyo.
-
Ujumbe wa maandamano makubwa ya waungaji mkono wa Palestina kimataifa
Oct 30, 2023 01:14Zikiwa zimepita wiki tatu tokea kuanza jinai za Wazayuni huko Gaza, uungaji mkono kwa wananchi wa Palestina bado unaendelea kuongezeka katika nchi mbalimbali za Asia na mataifa mengine ulimwenguni.
-
Operesheni ya nchi kavu, kelele tupu za Israeli; raia ndio shabaha rahisi ya Netanyahu
Oct 29, 2023 08:34Ijapokuwa imekuwa vigumu kwa kiasi fulani kupata habari na ripoti kuhusu hali ya maafa na hasara inayosababishwa na mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Ghaza, kufuatia hatua ya makusudi ya utawala huo ya kukata Intaneti na kuwalenga waandishi wa habari, lakini habari chache zinazotoka katika ukanda huo zinaashiria kuwa operesheni ya nchi kavu ya utawala huo imefeli pakubwa licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa nga na ushiriki wa majeshi ya Marekani katika operesheni hiyo.
-
Kukaribisha HAMAS azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Oct 29, 2023 02:07Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekaribisha azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Gaza na kutangaza kuwa inataka Baraza Kuu la umoja huo na taasisi zingine husika za kimataifa kutekeleza hatua za lazima kwa ajili ya utekelezaji wa haraka wa azimio hilo ili vivuko vya Gaza vifunguliea tena na hivyo kuruhusu nishati ya mafuta na misaada ya haraka ya kibinadamu iwafikie watu wa eneo hilo.
-
Mauaji ya makusudi ya raia wa Gaza bado ni shabaha rahisi kwa Netanyahu na genge lake
Oct 28, 2023 23:29Tukiwa katika siku ya 22 ya mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza, kuna mambo kadhaa ya kuzingatiwa. Kwanza ni kwamba, shambulio la nchi kavu la utawala wa Kizayuni huko Gaza ambalo limeanzishwa kutoka pande tatu limeshindwa, na jeshi la utawala huo limeshindwa kusonga mbele.
-
Kupasishwa azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Ghaza
Oct 28, 2023 08:39Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha rasimu ya azimio lililopendekezwa na nchi za Kiarabu na kutaka kutekelezwa usitishaji vita wa kibinadamu haraka iwezekanavyo huko Ghaza.
-
Diplomasia yenye nguvu na amilifu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu Ghaza; tokea safari za kieneo hadi New York
Oct 28, 2023 04:25Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika kuendelea na siasa za diplomasia amilifu na imara kuhusu Ghaza, amesafiri mjini New York ambapo ameshiriki katika kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kusisitiza juu ya haja ya kuchukuliwa hatua muhimu za dharura ili kukomesha vita huko Ghaza
-
Radiamali ya China kuhusu ripoti ya mwaka ya Pentagon
Oct 27, 2023 22:52Wizara ya Ulinzi ya China imelaani ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kuhusu nchi hiyo.
-
Kupigiwa kura ya veto maazimio yanayohusu vita vya Ghaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Oct 27, 2023 03:57Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeshindwa kupasisha azimio Katika hali ambayo wananchi wa Ukanda wa Ghaza bado wanakabiliwa na mashambulizi ya kinyama na ya kutisha ya utawala wa Kizayuni ambapo utawala huo unazuia kufikishwa misaada ya dharura katika eneo hilo.
-
Qatar yasikitishwa na utendaji kazi wa Baraza la Usalama huko Ghaza
Oct 26, 2023 23:02Mwakilishi wa Qatar katika Umoja wa Mataifa amelalamikia siasa za utolewaji misaada ya kibinadamu huko Ghaza na kushindwa Baraza la Usalama kupitisha azimio kuhusiana na matukio ya eneo hilo.