Uchambuzi
  • Maandamano ya wanachuo India kulalamikia jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Maandamano ya wanachuo India kulalamikia jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 25, 2023 22:53

    Katika hali ambayo, serikali ya India imechukua mkono wa sera za kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza, mamia ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali vya New Delhi, mji mkuu wa nchi hiyo wameandamana na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wakazi wa Gaza.

  • Utawala wa Kizayuni wa Israel wamtishia pia Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Utawala wa Kizayuni wa Israel wamtishia pia Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Oct 25, 2023 09:44

    Licha ya kuwa, misimamo ya Umoja wa Mataifa haikuwiana kabisa na ukubwa na upeo wa jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza, na hadi sasa bado misimamo hiyo haijawa athirifu katika kuzima vita hivyo, lakini misimamo ya hivi karibuni ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa haijavumiliwa na utawala huo.

  • Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza

    Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza

    Oct 25, 2023 04:19

    Siku 19 zimepita tangu kilipoanza Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza. Suali muhimu la kujiuliza hapa ni je, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na msimamo gani kuhusiana na vita hivi na imechukua hatua gani?

  • Maelfu ya waliokimbia makazi yao na waliojeruhiwa huko Ghaza wanasubiri misaada ya dharura na matibabu

    Maelfu ya waliokimbia makazi yao na waliojeruhiwa huko Ghaza wanasubiri misaada ya dharura na matibabu

    Oct 24, 2023 23:21

    Licha ya kuwa utawala wa Kizayuni, chini ya mashinikizo ya kimataifa, hatimaye umekubali kupelekwa misaada midogo ya kibinadamu huko Ghaza, na hayo ni baada ya kupitia ukaguzi unaochukua muda mrefu, lakini misaada hiyo haitoshi kabisa kukidhi mahitaji mengi ya watu wa Ghaza walio chini ya mashambulio makali na mzingiro wa kidhalimu wa utawala huo wa kibaguzi.

  • Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Oct 24, 2023 06:33

    Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni si tu kwamba inatoa misaada ya kila aina ya silaha na fedha kwa ajili ya kuushambuliwa Ukanda wa Ghaza, bali pia inapinga vikali usitishwaji vita katika uvamizi huo wa umwagaji damu kwa visingizio vya uongo na visivyo na msingi.

  • Mitetemo ya Kimbunga cha Al Aqsa ndani ya Israel

    Mitetemo ya Kimbunga cha Al Aqsa ndani ya Israel

    Oct 24, 2023 02:40

    Mgawanyiko na hitilafu zinazidi kuongezeka ndani ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu tangu kuundwa serikali yenye misimamo mikali ya Netanyahu na kuenea hadi kwa raia wa kawaida; huku wafuasi wa makundi mawili ya kisekula na kidini wakikabiliana mara kadhaa hadi sasa na wakati mwingine wakijikita katika mapigano na kuibua ghasia.

  • Uungaji mkono wa China kwa matakwa ya nchi za Kiislamu kuhusu Palestina; matarajio na matumaini.

    Uungaji mkono wa China kwa matakwa ya nchi za Kiislamu kuhusu Palestina; matarajio na matumaini.

    Oct 24, 2023 01:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China ametangaza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa matakwa halali ya nchi za Kiarabu na Kiislamu kuhusiana na suala la Palestina.

  • Watu waliozingirwa Gaza wanasubiri msaada wa kimataifa

    Watu waliozingirwa Gaza wanasubiri msaada wa kimataifa

    Oct 23, 2023 07:41

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema katika hotuba yake kwenye Kikao cha Amani cha Cairo: 'Tunakutana katikati ya eneo ambalo lina maumivu makali na limesimama hatua moja kutoka kwenye shimo refu. Eneo ambalo hauwezi kukosa kuhuzunika na kukereka na moyo kuuma na kusononeka kwa kuona picha za machungu na mateso ya watu wake.'

  • Kurejea mitaani waandamanaji kumpinga Netanyahu

    Kurejea mitaani waandamanaji kumpinga Netanyahu

    Oct 23, 2023 01:04

    Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel, kwa mara nyingine wamemiminika mitaani kushinikiza kujiuzulu waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu.