-
Kwa nini Mamlaka ya Ndani ya Palestina imezidi kuwatia nguvuni watu kwa malengo ya kisiasa?
Nov 29, 2025 09:22Hatua ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuzidisha kasi ya kuwatia mbaroni watu kwa malengo ya kisiasa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan imekabiliwa na upinzani na wasiwasi wa Wapalestina kuhusiana na matokeo mabaya ya hatua hiyo.
-
Kwa kupiga marufuku shughuli za kundi la 'Palestine Action', Uingereza ni mtetezi kweli wa uhuru wa kutoa maoni?
Nov 29, 2025 02:42Kundi linalolitetea taifa madhulumu la Palestina nchini Uingereza liitwalo 'Palestine Action' limesema, kupigwa marufuku uendeshaji wa shughuli zake na serikali ya London ni hatua ya kidikteta.
-
Silaha za mauaji ya halaiki na sera za undumilakuwili za Washington na Tel Aviv, chanzo cha migogoro ya kiusalama Magharibi ya Asia
Nov 28, 2025 06:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema, yanayoendelea kujiri katika eneo la Magharibi ya Asia ambayo ni vita vya kudumu, uchokozi wa kivamizi, mauaji ya kimbari na kujipanua kikoloni utawala wa kizayuni wa Israel, ni matokeo ya moja kwa moja ya uungaji mkono wa Marekani na uridhishaji unaofanywa na baadhi ya nchi za Ulaya kwa utawala huo haramu.
-
Kwa nini Afrika inataka kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa?
Nov 28, 2025 02:57Bara la Afrika, kwa miaka kadhaa sasa, limekuwa likitafuta kiti cha kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa kuhusu vita vya Gaza; athari za kutisha za jinai za Israel
Nov 27, 2025 10:17Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imefichua vipengele vipya vya athari za kutisha za vita vya Gaza. Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa vita vya utawala wa Kizayuni huko Gaza vimeunda shimo la kutisha na kwamba ujenzi mpya wa ukanda huu utahitaji kwa uchache dola bilioni 70 na muda wa miongo kadhaa, takwimu zinazodhihirisha wazi kina cha janga hili.
-
Je, Marekani ni nchi ya demokrasia au Jamhuri ya Mabilionea?
Nov 27, 2025 02:24Ingawa karne moja iliyopita, ni asilimia 0.25 tu ya fedha za uchaguzi wa Marekani ndizo zilizotoka mifukoni mwa watu 100 matajiri zaidi wa nchi hiyo, lakini leo, dola moja kati ya kila dola 13 za chaguzi za serikali ya shirikisho hutoka moja kwa moja kwa mabilionea, jambo ambalo Washington Post imesema kuwa ni kuhodhiwa siasa za Marekani na mabilionea.
-
Uhusiano wa Iran na Pakistan; kiungo cha kimkakati cha amani na utulivu katika eneo
Nov 26, 2025 16:17Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amewasili Islamabad na kukutana na kushauriana na maafisa wa Pakistan katika ziara rasmi ya siku mbili.
-
Kwa nini Ulaya imechukua mkondo wa sera kali dhidi ya wakimbizi?
Nov 26, 2025 02:36Ujerumani inataka kuweka sheria kali zaidi dhidi ya wakimbizi na wahamiaji, na inapanga kufukuza nchini humo idadi kubwa ya wakimbizi.
-
Kwa nini mkataba wa gesi kati ya Israel na Misri unakaribia kusambaratika?
Nov 25, 2025 10:22Hitilafu za kisiasa na kiusalama kati ya utawala ghasibu wa Israel na Misri zimechukua zimefikia katika uga wa kiuchumi, na sasa zimefikisha mkataba mkubwa zaidi wa gesi kati ya Tel Aviv na Cairo kwenye ukingo wa kusambaratika.
-
Mamluki wa kigeni wana jukumu gani katika kuchochea vita nchini Sudan?
Nov 25, 2025 02:39Kamati ya Uchunguzi wa Haki za Binadamu imetangaza kuhusu ushirikiano uliopo kati ya mamluki wa kigeni na Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan RSF katika vita vya ndani nchini humo.