-
Kushadidi ubaguzi dhidi ya Waislamu nchini Uingereza; kielelezo cha chuki dhidi ya Uslamu barani Ulaya
Sep 15, 2022 23:31Katika muendelezo wa ubaguzi dhidi ya Waislamu wanaoishi nchini Uingereza, vyombo vya habari vimeripoti wiki hii juu ya kuweko mpango wa kupokonywa uraia wa nchi hiyo Waislamu wanaoishi nchini Uingereza na kutangazwa kuwa raia wa daraja la pili.
-
Kurejea balozi wa Imarat nchini Iran baada ya miaka 7; sisitizo la Abu Dhabi la kuimarisha ushirikiano na Tehran
Sep 15, 2022 05:35Balozi wa Imarati amerejea hapa Tehran baada ya kupita miaka saba ambapo katika mazungumzo yake na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiiislamu ya Iran amesisitizia suala la kukuzwa na kuimarishwa uhusiano baina ya pande mbili.
-
Mahakama ya India yakataa ombi la Waislamu, ubaguzi unaendelea
Sep 14, 2022 21:59Mahakama ya India imekataa ombi la Waislamu la kutupilia mbali shauuri la wanawake wa Kihindu la kutwaa msikiti wao katika mji wa Banaras.
-
Wagonjwa maalumu wa Kiirani; mateka wa vikwazo na uchu wa kisiasa wa Marekani
Sep 14, 2022 08:27Alena Douhan, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu taathira hasi za vikwazo vya upande mmoja dhidi ya haki za binadamu amewasilisha rasmi ripoti kuhusu athari za vikwazo dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa vikwazo hivyo vimesababisha changamoto kubwa kwa ununuzi wa dawa za matibabu khususan kwa wagonjwa maalumu na wale wenye maradhi nadra nchini Iran.
-
Kuendelea mgogoro wa nishati barani Ulaya
Sep 13, 2022 21:41Nchi za Ulaya ambazo kwa sasa zinakabiliwa na tatizo kubwa la kusambaza gesi na kudhibiti bei ya nishati, zinakumbwa na changamoto mbalimbali za kisiasa na kijamii zinazotokana na tatizo hilo.
-
Ombi la kuilazimisha Marekani itimize wajibu wake wa uenyeji wa Umoja wa Mataifa
Sep 13, 2022 00:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema katika mahojiano kwamba Marekani na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wana wajibu wa kuhakikisha ushiriki wa wawakilishi wote wa nchi wanachama katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unatimia.
-
Kuendelea juhudi za Iran za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Yemen
Sep 12, 2022 21:50Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake na mkuu wa timu ya mazungumzo ya serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen kwamba, Jamhuri ya Kiislamu daima itaendeleza himaya na uungaji mkono wake kwa irada na matakwa ya wananchi wa Yemen.
-
Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11
Sep 12, 2022 03:51Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.
-
Korea Kaskazini, dola lenye nguvu za nyuklia
Sep 11, 2022 21:47Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un ametia saini sheria ambayo kwa mujibu wake nchi hiyo sasa inatambuliwa rasmi kuwa ni dola lenye nguvu za kijeshi za nyuklia.
-
Kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya na suala zima la uchaguzi mkuu
Sep 11, 2022 04:52Nchi zilizoshiriki katika katika kikao cha kimataifa cha Berlin kuhusu Libya zimesisitiza kuwa, uchaguzi ndiyo njia pekee ya utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo. Kikao hicho cha siku mbili kimehudhuriwa pia na wawakilishi kutoka Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya, Ufaransa, Uingereza, Marekani, Uturuki, Italia, Ujerumani na Misri.