-
Umuhimu wa safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar mjini Tehran
Jan 28, 2022 04:54Mohammed bin Abdulrahman Al-Thani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu wa nchi hiyo siku ya Alhamisi alifanya ziara mjini Tehran ambapo alionana na kuzungumza na waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Iran Hussein Amir Abdollahian.
-
Kuongezeka kwa harakati za pembetatu za Saudia, UAE na utawala wa Kizayuni dhidi ya Yemen
Jan 28, 2022 01:55Shambulizi lililofanywa hivi majuzi la makombora na ndege zisizo na rubani za jeshi la Yemen na harakati ya Ansarullah dhidi ya Imarati limeonyesha kuwa harakati za pembetatu ya Saudi Arabia, Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Yemen zimeongezeka.
-
Maandamano ya Wasudani kupinga uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya nchi hiyo
Jan 27, 2022 08:22Raia wa Sudan wanaendelea kufanya maandamano wakipinga uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya nchi yao na wamemtaka mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa kuondoka nchini humo.
-
Mazungumzo ya Vienna; ufunguo wa makubaliano yoyote ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya taifa la Iran
Jan 26, 2022 23:05Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ameeleza kuwa, ufunguo wa mapatano yoyote ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya wananchi wa Iran.
-
Mapinduzi ya Burkina Faso na mustakbali usiojulikana wa nchi hiyo
Jan 26, 2022 07:55Kundi la askari wa jeshi la Burkina Faso linalojiita Patriotic Movement for Safeguarding and Restoration chini ya uongozi wa Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba Jumatatu wiki hii lilijitokeza katika tevisheni ya taifa ya nchi hiyo likitangaza kusitishwa Katiba, kuivunja Serikali na Bunge na kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo, Roch Marc Christian Kabore. Wanajeshi hao walisema kuwa Burkina Faso sasa iko chini ya mamlaka yao.
-
Kupoteza hadhi Jumuiya ya Nchi za Kiarabu baada ya kukengeuka njia na malengo ya kuasisiwa kwake
Jan 26, 2022 00:42Utambulisho na jukumu la uwepo wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) ni kuunga mkono mataifa ya Kiarabu na kutatua matatizo na migogoro inayozikabili nchi hizo.
-
Sisitizo la Rais wa Iran la kupanua uhusiano na majirani
Jan 25, 2022 09:01Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran imekuwa ikifuatilia suala la kuimarisha uhusiano wake na nchi jirani hasa zile za Waislamu.
-
Kufichuliwa upeo mpya wa ubaguzi dhidi ya Waislamu nchini Uingereza
Jan 24, 2022 22:57Kadhia ya chuki dhidi ya Uislamu na kubaguliwa Waislamu katika nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza imeshika kasi katika miaka ya hivi karibuni. Chuki hizi dhidi ya Uislamu sasa zimefika hata katika ngazi rasmi za serikali.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Ishara za jamii inayofuata kigezo cha Fatima Zahra SA
Jan 24, 2022 08:39Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema huduma bila kujigamba na kwa ikhlasi kwa wanaohitaji ni moja ya ishara muhimu za jamii inayofuata kigezo cha Fatima Zahra SA.
-
Jinai za Saudia nchini Yemen, malengo, radiamali na matokeo yake
Jan 23, 2022 23:08Utawala wa kiimla wa Saudi Arabia unaendelea na jinai zake katika nchi ya Waislamu ya Yemen ambapo katika matukio ya hivi karibuni, madola vamizi yakiongozwa na Saudia yameua kwa umati raia wasiopungua 77 wasio na hatia wa Yemen na kujeruhi wengine wapatao 230.