-
Mapitio ya jinai za Magharibi na Marekani katika kipindi cha miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu Afghanistan
Oct 07, 2025 23:11Moja ya jinai muhimu zaidi zilizofanywa na Marekani katika karne ya 21 ni kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa miaka 20 na uhalifu wake nchini humo.
-
Mpango wa Trump; majibu ya Hamas na mvutano mkubwa katika baraza la mawaziri la Israel
Oct 07, 2025 07:57Wakati mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza yameingia mwaka wake wa pili, hivi karibuniRais Donald Trump wa Marekani aliwasilisha mpango wenye vipengele 20 akidai usitishaji vita huko Gaza.
-
Kilichopelekea maandamano ya kuipinga Israel katika nchi za Ulaya kugeuka kuwa vuguvugu kubwa la umma barani humo
Oct 07, 2025 01:02Maandamano makubwa ya wananchi wa mataifa ya Ulaya dhidi ya sera za utawala wa kizayuni wa Israel huko Ghaza yangali yanaendelea.
-
Kwa nini China inaamini kujitoa Marekani katika JCPOA ndio chanzo cha mgogoro wa sasa kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran?
Oct 06, 2025 02:43China imetangaza kuwa, kujitoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ndio chanzo cha mgogoro unaoshuhudiwa hivi sasa kuhusiana na kadhia ya nyuklia ya Iran.
-
Kukaribisha madola ya Ulaya jibu la HAMAS kwa mpango wa Trump; nini sababu zake?
Oct 05, 2025 22:48Katika hatua iliyoratibiwa, viongozi wa nchi kubwa za Ulaya wamekaribisha jibu la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina (HAMAS) kwa mpango wa Trump kuhusu Gaza.
-
Kutoka kwenye siasa hadi michezo; kutengwa Israel duniani kote kutokana na mauaji ya kimbari ya Gaza
Oct 05, 2025 04:11Vita vya Ghaza na jinai nyingine zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel zimekabiliwa na msururu wa mashinikizo ya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni ambayo yameufanya utawala huo ghasibu kuwa taifa linalochukiwa na kukataliwa duniani.
-
Kukadhibishwa tuhuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya UNRWA; kwa nini simulizi za Tel Aviv hazina itibari?
Oct 04, 2025 22:56Jaji wa Kimarekani amekadhibisha tuhuma dhidi ya UNRWA kwamba inaiunga mkono harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.
-
Madai mapya ya G7; Kwa nini Wamagharibi wanaendeleza sera zao za undumakuwili mkabala wa Iran?
Oct 04, 2025 07:57Katika kuendelea sera za undumakuwili za kundi la G-7 mkabala wa Iran; kundi hilo limedai kuwa linataka kuendeleza diplomasia mkabala wa kadhia ya nyuklia ya Iran.
-
Mbinu ya ulaghai ya Trump; Je, shambulio dhidi ya Qatar litachukuliwa kuwa tishio la usalama dhidi ya Marekani?
Oct 03, 2025 22:56Trump ametoa amri ya kiutendaji akidai kuwa shambulio lolote katika ardhi ya Qatar litahesabiwa kuwa tishio la usalama kwa Marekani.
-
Rais wa Colombia aendeleza kampeni ya kumkosoa Rais Trump wa Marekani
Oct 02, 2025 06:47Katika siku za hivi karibuni, Rais Gustavo Petro wa Colombia, ameendeleza ukosoaji mkali dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani na sera za utawala wake.