-
Bwawa la Renaissance; tishio kwa amani au fursa ya maendeleo?
Sep 11, 2025 03:49Bwawa la Renaissance au an-Nahdha, mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme barani Afrika, ulizinduliwa rasmi na serikali ya Ethiopia siku ya Jumanne.
-
Kwa nini maelfu ya Wazayuni wanataka kusimamishwa vita vya Gaza?
Sep 10, 2025 10:07Maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano ya kumpinga Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni na kutaka kusitishwa mara moja vita vya Ukanda wa Gaza na kukombolewa mateka wa Kizayuni.
-
Kwa nini utawala wa Israel na Australia zinaendelea kushirikiana nyuma ya pazia licha ya mivutano ya kidiplomasia?
Sep 09, 2025 22:57Katika hali ambayo uhusiano wa kidiplomasia kati ya utawala wa Kizayuni na Australia umefika kiwango cha chini na kufutwa kwa viza za wanadiplomasia kumezidisha mivutano; lakini pande mbili hizo zinaendelea kushirikiana katika masuala ya kiusalama, kiteknolojia na kiuchumi.
-
BRICS inawezaje kuwa na nafasi muhimu na kuu katika kukabiliana na mwenendo unaotia wasiwasi wa hatua za upande mmoja?
Sep 09, 2025 08:46Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza katika mkutano wa dharura wa viongozi wa kundi la BRICS uliofanyika kwa njia ya video kwamba: BRICS inaweza kuwa na nafasi muhimu na kubwa katika kukabiliana na mwenendo unaotia wasiwasi wa hatua na misimamo ya upande mmoja.
-
Kwa nini UN imetoa wito wa kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya makundi ya kutetea haki za binadamu ya Palestina?
Sep 08, 2025 05:28Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, amekosoa vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya makundi ya kutetea haki za binadamu ya Palestina, na kutoa wito wa kuondolewa mara moja.
-
Kwa nini Tume ya Ulaya haikubali hata maneno ya mwakilishi wake yenyewe kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza?
Sep 07, 2025 23:01Siku ya Ijumaa, Agosti 5, Kamisheni ya Umoja wa Ulaya ilipuuza kauli ya Teresa Ribera, Naibu MKuu Mtendaji wake kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel katika Ukanda wa Gaza, na kudai kwamba jinai hizo zinaweza tu kuthibitishwa na mahakama husika.
-
Je, China imejibu vipi tuhuma za Trump?
Sep 07, 2025 03:19Ikiwa ni katika kujibu madai ya Trump, China imetangaza kwamba kupanua ushirikiano wake na nchi nyingine sio tishio kwa nchi yoyote ya tatu.
-
Kubadilishwa jina la Wizara ya Ulinzi ya Marekani kuwa Wizara ya Vita; kwa nini na kwa lengo gani?
Sep 06, 2025 22:50Rais wa Marekani Donald Trump amesaini dikrii ya utekelezaji na hivyo kubadili jina la Wizara ya Ulinzi ya Marekani kuwa "Wizara ya Vita."
-
Hasira za nchi za Magharibi kuhusu Mkutano wa Shanghai na mjumuiko wa madola yanayoibukia
Sep 06, 2025 08:32Viongozi wa Marekani na Umoja wa Ulaya wamekasirishwa na mkutano wa kilele wa Shanghai na mkusanyiko wa nchi hasimu za Magharibi
-
Watu wa Afrika walaani jinai za utawala wa Israel dhidi ya Yemen na Gaza
Sep 05, 2025 06:54Wananchi wa nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano makubwa kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Yemen na Gaza, wakionesha mshikamano wa wazi na harakati za ukombozi wa Wapalestina.