-
Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?
Aug 09, 2025 07:59Mataifa matatu yanayoinukia kiuchumi, Brazil, India na Uchina, yamejibu vikali hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ya kupandisha ushuru wa forodha kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.
-
Kwa nini India inashirikiana na utawala wa kizayuni wa Israel?
Aug 08, 2025 22:59Katika miaka ya hivi karibuni India na utawala wa Kizayuni zimeanzisha uhusiano mkubwa katika sekta nyingi za kiuchumi, kijeshi na kisiasa.
-
Kwa nini wabunge wa Bunge la Ulaya wametaka kusitishwa ushirikiano na Israel?
Aug 08, 2025 09:12Katika barua rasmi kwa viongozi wa Umoja wa Ulaya, wawakilishi 41 wa Bunge la Ulaya wametaka kusitishwa uhusiano wa kibiashara na kusimamishwa utekelezwaji wa makubaliano ya ushirikiano na utawala ghasibu wa Israel.
-
Je, India itasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Trump?
Aug 07, 2025 22:41Siku ya Jumatano, Agosti 6, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini amri ya kuweka ushuru wa ziada wa asilimia 25 dhidi ya bidhaa za India ili kukabiliana na hatua ya nchi hiyo ya kuendelea kununua mafuta ya Russia, na hivyo kuongeza ushuru jumla kwa bidhaa za India hadi asilimia 50.
-
Je, Afrika Kusini inafanya nini kukabiliana na ushuru mpya wa kibiashara wa Marekani?
Aug 07, 2025 04:49Wizara ya Biashara ya Afrika Kusini imetangaza kuwa imechukua hatua kadaa mpya za kukabiliana na ushuru mpya wa kibiashara wa Marekani.
-
Baraza la Mawaziri la Netanyahu latumbukia kwenye mgogoro; mgogoro huu unaelekea wapi?
Aug 06, 2025 23:01Duru za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeripoti kuwa, hitilafu ndani ya tawala huo ghasibu zinazidi kuongezeka na hivyo kuathirri pakubwa shughuli zake za kila siku.
-
Kwa nini sarafu ya dola si kimbilio salama tena duniani?
Aug 06, 2025 02:25Baada ya miongo kadhaa ya juhudi za Marekani kudumisha utawala wa sarafu ya dola juu ya mfumo wa fedha duniani, hali ya dola sasa imefikia hatua mbaya.
-
Tsunami ya chuki; Imekuaje Israel imeondokea kuwa utawala unaochukiwa duniani?
Aug 06, 2025 00:27Katika wiki za hivi karibuni, maafisa na takwimu za Israel zimeelezea mara kwa mara wasiwasi wao juu ya kuongezeka kwa chuki ya kimataifa dhidi ya utawala huo ghasibu.
-
Kwa nini majimbo ya Marekani yanaadhibiwa kwa sababu ya kuitetea Palestina?
Aug 05, 2025 10:54Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kukata bajeti ya dharura ya kukabiliana na majanga ya asili na kudhamini usalama wa ndani wa majimbo na miji ya Marekani inayounga mkono Palestina na kususia makampuni ya Israel.
-
Vipi gharama za kijeshi zimeusukuma uchumi wa Israel katika ukingo wa shimo?
Aug 04, 2025 22:58Viashiria vya ukuaji wa uchumi wa utawala wa kizayuni wa Israel vinapungua, na inatarajiwa kwamba athari mbaya za vita vinavyoendelea vya Gaza na vita vya siku 12 dhidi ya Iran vitazidi kuwa na taathira hasi kwa mwenendo wa kiuchumi wa Israel katika nusu ya pili ya mwaka huu.