-
Je, Dan Jarvis anasema nini? Ni nani na amefanya nini?
May 08, 2025 22:50Madai yaliyotolewa katika bunge la Uingereza siku ya Jumanne, Mei 6 na Dan Jarvis, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, kwa mara nyingine tena yameibua kile kinachodaiwa kuwa tishio la usalama kutoka Iran.
-
Uwanja wa Ndege wa Port Sudan kutoka Lango la Matumaini hadi Uwanja wa Vita. Je, jitihada za kutoa msaada zitaendelea?
May 08, 2025 02:22Sauti ya ving'ora inasikika kutoka mbali. Moshi mweusi unatanda angani kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Port Sudan. Umati mkubwa wa watu unakimbia kuelekea moja ya kambi za maficho za muda.
-
Kurudi nyuma Marekani katika vita ilivyoanzisha dhidi ya Yemen; matunda ya Muqawama wa Wayemen
May 07, 2025 22:53Msemaji wa harakati ya Muqawama ya Ansarullah, Muhammad Abdul Salam amesema, Yemen haitaiacha Ghaza peke yake licha ya kufikiwa makubaliano ya kusitisha vita, na kwamba Marekani ndiyo iliyoomba kusitishwa mapigano.
-
Jibu la mkato la Iran kwa porojo la Netanyahu
May 07, 2025 05:28Amir-Saeid Iravani, Balozi na Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameliandikia barua Baraza la Usalama la umoja huo kujibu porojo na upayukaji wa waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu dhidi ya Iran.
-
Umoja wa Ulaya na juhudi za kupata washirika wapya wa kibiashara
May 06, 2025 22:49Vitendo vya Rais Donald Trump wa Marekani hususan kuanza kwa vita vya kibiashara na dunia ambavyo vimesababisha machafuko katika mfumo wa uchumi na biashara wa kimataifa, vimeufanya Umoja wa Ulaya kutaka kupanua na kuimarisha uhusiano wake na nchi za Bahari ya Pasifiki (Trans-Pacific).
-
Umuhimu wa safari ya Araghchi nchini Pakistan
May 06, 2025 07:47Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alifanya safari mjini Islamabad na kukutana na kushauriana na viongozi wa Pakistan kuhusu kuimarisha uhusiano wa pande mbili na kubadilishana mawazo kuhusu matukio ya kieneo na kimataifa.
-
Haki ya Iran ya kurutubisha madini ya urani
May 05, 2025 23:13Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza msimamo wa muda mrefu lakini wa kisheria wa Iran kuhusu kuwa na haki ya kurutubisha madini ya urani.
-
Kukabiliana mataifa ya Amerika Kusini na vita vya ushuru vya Trump
May 05, 2025 09:54Wanachama wa Soko la Pamoja la Amerika Kusini (Mercado Común del Sur) wameongeza idadi ya bidhaa zisizo na ushuru kwa bidhaa zinazoangizwa kutoka nje ya jumuiya ya kikanda, katika hatua muhimu dhidi ya vita vya kibiashara vilivyoanzishwa na Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Makosa 6 makubwa ya kimkakati ya Marekani kuhusu Iran
May 04, 2025 22:52Baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuasisiwa Jamhuri ya Kiislamu nchini Iran, Marekani ikiwa kiongozi wa nchi za Magharibi, muda wote imekuwa ikilifanyia uadui taifa la Iran katika kipindi cha miaka 46 sasa ikiwa ni pamoja na kuliwekea vikwazo vikubwa kupindukia. Hata hivyo Washington imeshindwa kufikia malengo yake dhidi ya Iran.
-
Mashambulizi dhidi ya Meli ya Uhuru; Jinai nyingine ya Israel
May 04, 2025 06:13Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya jinai nyingine ya kushambulia kwa droni na ndege zisizo na rubani meli za uhuru (Freedom Flotilla) iliyokuwa inapeleka misaada ya kibinadamu kwa wananchi madhlumu wa Ghaza, na hivyo kuzidisha orodha ya jinai za utawala huo katili dhidi ya ubinadamu.