-
Mamia ya Maelfu ya Wayemen waandamana kuwaunga mkono ndugu zao Wapalestina + Video
May 17, 2021 22:21Maandamano makubwa ya kuliunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina na mapambano yake ya ukombozi, yamefanyika huko San'a, mji mkuu wa Yemen.
-
Vita vya "Saifel Quds" na maafa yake kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
May 15, 2021 00:00Siku kadhaa zimepita tangu kuanza vita vya Israel na muqawama wa Palestina vinavyojulikana kwa jina la "Saifel Quds" na ingawa kutokana na ukatili wake usio na kifani, utawala wa Kizayuni unasababisha hasara kuwba za roho na mali za Wapalestina kwa kushambulia makazi ya watu, lakini vita hivyo ni kengele ya hatari kwa Israel kwa ushahidi mbalimbali.
-
Kuendelea kunyanyaswa na kupigwa vita Waislamu nchini Ufaransa
May 14, 2021 05:10Viongozi wa Ufaransa wanaendelea kuchukua hatua za kuipiga vita waziwazi dini tukufu ya Kiislamu. Hatua ya karibuni kabisa ni ya kupigwa marufuku Muislamu wa kike asijiandikishe kugombea katika uchaguzi kutokana na Hijab yake.
-
Marekani sababu kuu ya jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapaletina
May 12, 2021 21:47Gazeti la Marekani la Washington Post limeashiria mashambulio na jinai za hivi karibuni za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) na kusema kuwa sio utawala huo tu ndio unazuia kufikiwa lengo lao tukufu la kuwa na nchi huru bali Marekani pia imekuwa na mchango mkubwa katika masaibu na matatizo ambayo yamewasibu kwa miongo kadhaa sasa.
-
Kiongozi Muadhamu apongeza mwamko, kusimama kidete na azma ya taifa la Palestina
May 12, 2021 05:27Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alasiri ya jana alihutubia mkutano wa wawakilishi wa jumuiya na asasi za wanachuo nchini uliofanyika kwa njia ya intaneti na kuelezea masikitiko yake makubwa kutokana na matukio mawili machungu mno ya umwagaji damu yaliyotokea karibuni katika Ulimwengu wa Kiislamu, huko Afghanistan na Palestina na kulaani jinai zilizofanyika katika nchi hizo.
-
Malengo ya Israel ya kufanya luteka ya kijeshi ya mwezi mzima
May 10, 2021 22:22Tangu juzi Jumapili tarehe 9 Mei, jeshi la utawala wa Kizayuni limeanzisha luteka na mazoezi maalumu ya kijeshi yatakayodumu kwa muda wa mwezi mmoja.
-
Kufichuliwa mambo mapya kuhusiana na Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Soleimani
May 10, 2021 05:00Jumamosi usiku, tovuti ya habari ya Yahoo News iliandika makala na ndani yake ilitoa taarifa mpya kuhusu operesheni ya jinai ya kinyama iliyofanywa na jeshi la kigaidi la Marekani ya kumuua shahidi aliyekuwa kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, Luteni Jenerali Qassem Suleimani.
-
Mzozo mkubwa baina ya Uingereza na Ufaransa, matunda ya awali ya kiusalama ya Brexit
May 08, 2021 21:41Baada ya Uingereza kujitoa katika Umoja wa Ulaya maarufu kwa jina la Brexit, sasa hivi matunda na matokeo mabaya ya kujitoa huko yameanza kuonekana katika nyuga mbalimbali.
-
Umoja wa Mataifa wasisitiza ujenzi wa vitongoji vya Mayahudi ni kinyume cha sheria
May 07, 2021 23:28Stephane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameashiria hatua ya utawala ghasibu wa Israel ya kufurusha makumi ya familia za Wapalestina katika mtaa wa Sheikh Jarrah huko Quds Mashariki na vile vile hatua ya walowezi wa Kizayuni ya kuvamia na kukalia kwa mabavu nyumba za Wapalestina na kusisitiza kuwa Umoja wa Mataifa inazichukulia shughuli zote za ujenzi wa vitongoji vya Mayahudi na kuharibiwa nyumba za Wapalestina kuwa kinyume cha sheria za kimataifa.
-
Nukta za kipekee za Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka 2021
May 06, 2021 21:49Siku ya Kimataifa ya Quds katika mwaka huu wa 2021 imewadia wakati ambao kunashuhudiwa matukio muhimu katika medani za kisiasa za muqawama au mapambano ya Kiislamu kwa upande mmoja na mikakati ya kuanzishwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika upande wa pili.