-
Iran yarekodi mauzo ya nje yenye thamani ya dola bilioni 11.6 katika msimu wa machipuo
Jul 01, 2025 22:42Mauzo ya nje ya Iran yasiyo ya mafuta katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka wa Kiiran yalifikia tani milioni 34 na 476 elfu, zenye thamani ya dola bilioni 11 na 655 milioni.
-
Araqchi akosoa kimya cha Baraza la Usalama kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran
Jul 01, 2025 09:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa kimya cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) kuhusu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.
-
Meja Jenerali Safavi azionya Marekani na Israel: Ulipizaji kisasi ujao utakuwa wa nguvu zaidi
Jul 01, 2025 08:59Mshauri wa ngazi ya juu wa masuala ya kijeshi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amewaonya wapinzani kwamba amewaonya wapinzani kwamba duru ijayo ya mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran, endapo kutafanyika uchokozi mpya dhidi ya Iran, itakuwa ya nguvu zaidi kuliko wakati wa vita vya siku 12 vya Israel dhidi ya nchi hii.
-
Araqchi: Mpango wa amani wa nyuklia wa Iran ni fahari na heshima ya taifa
Jul 01, 2025 03:31Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa "teknolojia na maarifa ya kurutubisha madini ya urani haviwezi kuangamizwa kwa mashambulizi ya mabomu" na kusema: Mpango wa nyuklia wa amani wa Iran umekuwa jambo la fahari na heshima ya taifa.
-
Je, Umoja wa Mataifa na jamii ya kimataifa zina nafasi gani katika kukabiliana na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran?
Jul 01, 2025 01:25Katika barua yake kwa Katibu Mkuu na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Seyyed Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza juu ya kuwajibishwa kisheria utawala wa Kizayuni na Marekani kufuatia hatua zao za kichokozi dhidi ya Iran.
-
Iran yataka Umoja wa Mataifa ulaani uchokozi wa Marekani na Israel
Jul 01, 2025 01:02Katika barua rasmi iliyowasilishwa kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Rais wa Baraza la Usalama, Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa, Balozi Amir Saeid Iravani, siku ya Jumatatu ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kutambua Israel na Marekani kama wavamizi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais Pezeshkian: Mienendo ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki inaibua wasiwasi
Jun 30, 2025 23:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mienendo ya hivi karibuni ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) inatia wasiwasi na inasababiisha changamoto kubwa kwa imani ya umma ya taifa la Iran."
-
Iran yasema inafuatilia kwa karibu harakati zozote za Israel katika nchi jirani
Jun 30, 2025 07:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa inafuatilia kwa karibu hatua zozote za utawala wa Kizayuni wa Israel zinazolenga kutumia ardhi ya nchi jirani kwa ajili ya vitendo vya uchokozi dhidi yake.
-
Araghchi: Iran ni muathiriwa mkuu wa silaha za kemikali hivyo inazipinga
Jun 30, 2025 07:38Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kama taifa lililoathirika zaidi na silaha za kemikali katika historia ya sasa, ni mtetezi imara wa dunia isiyo na silaha za maangamizi.
-
Larijani: Israel ilipanga lakini ilishindwa kumuua Kiongozi Muadhamu wa Iran
Jun 30, 2025 07:32Mshauri wa ngazi ya juu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, amefichua kuwa Israel ilikuwa imepanga kushambulia mkutano wa ngazi ya juu wa maafisa wa Iran—wakiwemo viongozi wa serikali—na baadaye kumlenga Kiongozi Muadhamu mwenyewe, lakini mpango huo ulizimwa kwa mafanikio.