-
Kiongozi wa Mapinduzi: Shahid Raisi, ni kigezo cha uongozi kwa serikali na viongozi
Jul 07, 2024 09:13Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametaja juhudi zisizokoma za kutatua matatizo ya watu, imani kubwa juu ya uwezo wa ndani, kuwa wazi katika kutangaza misimamo ya kidini na kimapinduzi, kutochoka, kutokata tamaa, kujitolea katika utekelezaji wa mipango mikubwa, unyenyekevu na uvumilivu na kushikamana na masuala ya kiroho, dhikri na kutawasali kuwa nii miongoni mwa sifa bora za kibinafsi, kimienendo na za kikazi za Shahid Ebrahim Raisi.
-
Nukta muhimu katika ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa kikao cha Umoja wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya
Jul 07, 2024 08:23Katika ujumbe wake kwa mkutano wa 58 wa Jumuiya za Wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, ameashiria masuala tata ya hivi sasa ya ulimwengu na akasisitiza nafasi na taathira za wanafunzi hao katika masuala makubwa kwa kuegemea shauku, imani na kujiamini.
-
Balozi wa Iran UN awasilisha malalamiko kwa Baraza la Usalama kufuatia madai yasiyo na msingi ya Arab League
Jul 07, 2024 04:11Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amewasilisha malalamiko kwa Baraza la Usalama la umoja huo kuhusu madai ya uwongo yaliyotolewa na Jumuia ya Nchi za Kiarabu kuhusu Iran.
-
EU: Tuko tayari kuboresha ushirikiano na Iran
Jul 07, 2024 04:07Msemaji wa Umoja wa Ulaya anayehusika na sera ya mambo ya nje na usalama amempongeza Rais mteule wa Iran na kusema umoja huo uko tayari kustawisha ushirikiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran yashinda viti 2 vya kimataifa katika Shirika la Hali ya Hewa Duniani
Jul 07, 2024 01:10Bahareh Arabi, Mkuu wa Idara ya Kimataifa ya Shirika la Hali ya Hewa la Iran amesema wataalamu 2 wa Shirika la Hali ya Hewa la Iran wamechaguliwa kuwa wajumbe wa Tume ya Huduma ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani.
-
Kiongozi Muadhamu akutana na Rais mteule wa Iran na Jalili
Jul 06, 2024 23:29Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mteule wa Iran, Masoud Pezeshkian na kumpongeza kwa kuibuka mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa 14 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Sisitizo la kupanuliwa uhusiano wa Iran na China
Jul 06, 2024 22:54Mohammad Mokhbrr, Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Rais Xi Jinping wa China walikutana na kujadiliana kando ya Mkutano wa 24 wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai huko Astana, mji mkuu wa Kazakhstan.
-
Viongozi wa nchi mbalimbali waendelea kutoa pongezi kwa Rais mteule wa Iran
Jul 06, 2024 22:52Viongozi na maafisa wa ngazi za juu wa nchi mbalimbali duniani wameendelea kumpongeza Daktari Massoud Pezeshkian kwa kuibuka na ushindi katika duru ya 14 ya uchaguzi wa rais wa Iran.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Suala muhimu zaidi la sasa ni kushindwa nchi za Magharibi kimaadili na kisiasa
Jul 06, 2024 11:35Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa suala muhimu zaidi duniani leo hii ni kufeli nchi za Magharibi katika masuala ya kimaadili na kisiasa.
-
Viongozi wa dunia wamtumia salamu za pongezi Rais mteule wa Iran
Jul 06, 2024 07:52Marais na viongozi wa nchi mbali mbali duniani wameendelea kutuma jumbe na salamu za pongezi wakimpongeza Rais mteule wa Iran, Massoud Pezeshkian kwa kuibuka na ushindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais uliofanyika ndani na nje ya Iran jana Ijumaa.