-
Iran yalaani kitendo cha Israel cha kumtesa mwanaharakati Greta Thunberg
Oct 20, 2025 03:13Esmail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumtesa mwanaharakti wa haki za binadamu aliyedhihirisha mshikamano na watu wa Palestina. Baqaei amevitaja vitendo hivyo vya Israel kuwa vya ukatili, visivyo vya kibinadamu na vya udhalilishaji.
-
WHO: Mgonjwa wa mwisho wa Ebola Kongo aruhusiwa kutoka katika kituo cha matibabu
Oct 20, 2025 03:12Shirika la Afya Duniani (WHO) jana liliripoti kuwa mgonjwa wa mwisho wa Ebola aliruhusiwa jana kutoka kwenye kituo cha matibabu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
'Jukwaa la kufyatulia risasi' lanaswa katika eneo linalotazamana na ndege ya Trump
Oct 20, 2025 03:10Idara ya Huduma ya Siri ya Marekani imethibitisha kuwa imegundua jukwaa linalotiliwa shaka la kufyatulia risasi karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Palm Beach likiwa na uwezo wa kuona moja kwa moja mahali ambapo kwa kawaida Rais Donald Trump hutokea kwenye Air Force One.
-
Idara ya Vyombo vya Habari vya Serikali Gaza yasajili ukiukaji 80 wa Israel tangu kusitishwa mapigano
Oct 20, 2025 03:08Idara ya Vyombo vya Habari ya Serikali katika Ukanda wa Gaza imesema ukiukaji wa Israeli wa mapatano ya kusitisha vita unaakisi hamu ya utawaka huo vamizi ya kuzidisha machafuko na mtazamo wake wa kichokozi dhidi ya watu wa ukanda huo.
-
Trump anamtishia Rais wa Colombia, Petro ajibu mapigo: Soma kwa makini kuhusu nchi yetu
Oct 20, 2025 03:08Rais wa Marekani, Donald Trump amemshutumu Rais wa Colombia Gustavo Petro kwa kuhusika katika kuongezeka biashara ya dawa za kulevya, na kutishia kuingilia moja kwa moja Marekani nchini Colombia.
-
Ripoti: Asilimia 97 ya shule za Gaza zimeharibiwa kwa mashambulizi ya Israel
Oct 19, 2025 23:58Ripoti rasmi zinasema, mashambulizi ya utawala ghasibu wa Israel yameharibu asilimia 97 ya shule za Ukanda wa Gaza na hivyo kuhatarisha mustakbali wa kielimu wa wanafunzi laki tatu wa Kipalestina katika eneo hilo.
-
Mashujaa Dei kufanyika kama kawaida Kenya licha ya maombolezo ya kifo cha Raila Odinga
Oct 19, 2025 23:52Serikali ya Kenya imetangaza kuwa Siku ya Mashujaa itaadhimishwa leo kama kawaida licha ya hofu iliyokuwepo kwamba ingeahirishwa baada ya kifo cha waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Raila Odinga.
-
Newsom akosoa vikali maonyesho ya kijeshi ya Trump, asema: Kiburi kimefadhilishwa kuliko uwajibikaji
Oct 19, 2025 23:10Gavana wa chama cha Democratic huko California amekosoa maonyesho ya kijeshi ya Trump ambayo yalisababisha kufungwa barabara kuu, akiyataja kuwa ni ishara ya Rais kutanguliza mbele "kiburi kuliko uwajibikaji."
-
Maaandamano dhidi ya Trump nchini Marekani yanafanyika kwa malengo gani
Oct 19, 2025 23:07Mamilioni ya Wamarekani waliingia mitaani katika maandamano ya nchi nzima wakiimba "No Kings" kupinga muhula wa pili wa rais Donald Trump na kile wanachokiita "mienendo yake ya kimabavu."
-
Gavana wa Darfur: Mashambulizi ya RSF huko El Fasher ni sawa na mauaji ya halaiki
Oct 19, 2025 23:06Gavana wa Darfur, magharibi mwa Sudan, Minni Arko Minawi, amesema kuwa mashambulizi ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) dhidi ya El Fasher, mji mkuu wa jimbo la Darfur Kaskazini, ni sawa na mauaji ya halaiki.