-
Hujuma ya kijeshi dhidi ya Iran inakiuka Kanuni za Umoja wa Mataifa
Mar 04, 2026 04:18Naibu Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuwa hujuma ya kijeshi yaliyotumika na Marekani na Israel dhidi ya Iran inakiuka Kanuni za Umoja wa Mataifa.
-
Mazungumzo na Iran yameonyesha wazi kuwa Marekani ililenga kuhadaa
Mar 04, 2026 03:59Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje ya Iran na ambaye sasa ni mbunge amesema kuwa mazungumzo yameonyesha kuwa Marekani imekuwa ikifuatilia sera ya hadaa.
-
Siku ya Tano ya Vita; Wimbi la 17 la Operesheni ya “Ahadi ya Kweli 4”
Mar 04, 2026 03:19Vikosi vya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinaendeleza operesheni za ‘Ahadi ya Kweli 4’ ikiwa ni katika kujibu uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ulioanzishwa Jumamosi.
-
Wanafunzi 185 wameuawa shahidi Iran katika hujuma za kigaidi za Israel, Marekani
Mar 04, 2026 02:23Waziri wa Elimu Iran, Alireza Kazemi, amesema katika mashambulizi ya kigaidi yaliyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran Jumamosi, hadi sasa wanafunzi wasiopungua 185 wameuawa shahidi.
-
IRGC: Hakuna jinai na mauaji ya kidhulma yanayofanywa na US na wazayuni yatayopita bila ya jibu
Mar 03, 2026 15:49Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesisitiza kuwa, wahalifu wa Kimarekani na Kizayuni wajue kwamba hakuna hata moja kati ya jinai na mauaji ya kidhulma wanayofanya yatakayopita bila ya jibu.
-
UN yataka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu wasichana wadogo 167 waliouliwa na US/Israel
Mar 03, 2026 15:06Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametaka ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu shambulio lililolenga skuli ya msingi ya wasichana katika mji wa Minab kusini mwa Iran.
-
IRGC: Majibu yajayo yatakuwa makali zaidi, Tel Aviv yateketea kwa makombora
Mar 03, 2026 14:06Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, kiwango cha nguvu za makombora kitaongezwa na mwendelezo wa mashambulio dhidi ya maadui wavamizi utazidi kurefushwa.
-
China yaihutubu Magharibi: Uzimeni moto wa vita usio na tija mliowasha dhidi ya Iran
Mar 03, 2026 12:54Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesisitizia ulazima wa faili la nyuklia la Iran kuondolewa kwenye wingu la vita.
-
Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna
Mar 03, 2026 12:42Mamia ya wanachama wa asasi zinazopinga vita, wanaharakati wa haki za binadamu na wapinzani wa uchokozi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa kizayuni dhidi ya Iran wameandamana katika mitaa na barabara kuu za miji ya Rome, Italia na Vienna, Austria huku wakipiga nara na kaulimbiu za “Mauti kwa Marekani”.
-
Wanajeshi 40 wa US wauawa Dubai katika shambulizi la kulipiza kisasi la IRGC
Mar 03, 2026 09:17Makumi ya wanajeshi wa Marekani wameuawa katika shambulizi la kulipiza kisasi la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) dhidi ya kambi ya kijeshi ya Marekani jijini Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu.