-
US yaidhinisha kuiuzia silaha Israel za $ bilioni 6.6 zikiwemo inazotumia kuulia Wapalestina
Jan 31, 2026 22:57Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 6.67 kwa utawala wa kizayuni wa Israel wakati huu ambapo kuna usitishaji mapigano unaolegalega katika vita vya mauaji ya kimbari vilivyoanzishwa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
-
Israel yaua Wapalestina 31 wakiwemo watoto 6 katika ukiukaji mpya wa usitishaji vita Ghaza
Jan 31, 2026 11:14Wapalestina wasiopungua 31, wakiwemo kwa uchache watoto sita, wameuawa shahidi katika mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel tangu alfajiri ya leo hadi wakati huu katika Jiji la Ghaza na mji wa Khan Younis katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu azuru Haram ya Imam Khomeini (MA)
Jan 31, 2026 09:26Sherehe za kuadhimisha mwaka wa arobaini na saba tangu ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu zimeanza kwa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuzuru haram haram tukufu ya Imam Khomeini (MA), muasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais Pezeshkian: Trump, Netanyahu, na Ulaya walitaka kuchochea mgawanyiko ndani ya Iran
Jan 31, 2026 09:25Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa katika ghasia za hivi karibuni zilizochochewa na tawala za kigeni, Rais wa Marekani Donald Trump, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, na watawala wa Ulaya walijaribu kuchochea vurugu na kuibua mgawanyiko ndani ya Iran.
-
Niger yasema Ufaransa imehusika na shambulio la kigaidi katika uwanja wa ndege wa Niamey
Jan 31, 2026 09:25Kiongozi wa mpito wa Niger, Jenerali Abdourahamane Tchiani, ameituhumu Ufaransa pamoja na nchi jirani za Benin na Ivory Coast kwa kufadhili shambulio la kigaidi lililolenga uwanja mkuu wa kimataifa wa ndege katika mji mkuu wa taifa hilo la Sahel mapema Alhamisi.
-
Mafaili mapya ya Epstein yafichua namna Trump alivyombaka binti wa miaka 13
Jan 31, 2026 09:24Wizara ya Sheria ya Marekani imetoa mamilioni ya nyaraka mpya zinazohusiana na kesi ya Jeffrey Epstein, mtendajinai aliyepatikana na hatia ya makosa ya kingono dhidi ya watoto, kabla ya kuondoa baadhi ya kurasa zilizokuwa na malalamiko yaliyomtaja Rais Donald Trump.
-
Sera za uadui za Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; Brussels inataka nini?
Jan 31, 2026 05:27Umoja wa Ulaya umeendeleza msimamo wake wa kuingilia masuala ya ndani ya Iran kwa kuweka vikwazo vipya dhidi ya Tehran kwa kisingizio cha masuala ya haki za binadamu.
-
Waziri Araghchi asisitiza ulazima wa kuheshimiana pande mbili katika mazungumzo
Jan 31, 2026 03:42Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuheshimiana pande mbili katika mazungumzo ya Iran na Marekani.
-
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran afanya mazungumzo na Rais wa Russia
Jan 31, 2026 03:41Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Russia mjini Moscow.
-
Kocha wa Manchester City: Mimi niko pamoja na Wapalestina
Jan 31, 2026 03:41Kocha wa timu yya soka ya Manchester City Mhispania Pep Guardiola kwa mara nyingine ametangaza himaya na uungaji mkono wake kwa Palestina na kusisitiza kwamba, yeye yuko pamoja na Wapalestina.