-
Indhari ya Unicef kuhusu hali mbaya ya watoto wa Afghanistan
Nov 28, 2018 04:09Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umeonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya watoto wa Afghanistan, ambao wanakodolewa macho na ghasia na umwagaji damu kila uchao.
-
Afghanistan katika hatari ya kutumbukia kwenye moto wa vita vya kimadhehebu
Nov 25, 2018 04:36Mlipuko wa bomu uliotokea katika jimbo la Khost kusini mashariki mwa Afghanistan Ijumaa iliyopita ulipelekea karibu watu 30 kupoteza maisha na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Shambulizi la kigaidi laua watu 50 wakisherehekea Maulidi Afghanistan
Nov 21, 2018 04:23Watu wasiopungua 50 wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililolenga mkusanyiko wa Waislamu waliokuwa katika sherehe za Maulidi ya Mtume Muhammad (SAW) katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.
-
Pakistan: Hatubebi dhima ya kushindwa Marekani nchini Afghanistan
Nov 20, 2018 11:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan ametupilia mbali madai ya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba Islamabad inawaunga mkono magaidi na kusisitiza kuwa, Pakistan si tu haibebi dhima ya kushindwa Washington nchini Afghanistan, lakini pia iliongoza juhudi za mwanzo za kutoa mchango chanya wa kuleta amani ndani ya nchi hiyo jirani.
-
Kharrazi: Kuwepo Marekani nchini Afghanistan kumezidisha matatizo ya kiusalama
Nov 12, 2018 04:47Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran amesema kuwa Marekani imezidisha tu matatizo ya kiuaslama kwa Afghanistan baada ya kuweko nchini humo kwa muda wa miaka 17.
-
'Vita dhidi ya ugaidi' vilivyoanzishwa na Marekani vimeua watu 500,000 Afghanistan, Iraq na Pakistan
Nov 09, 2018 01:22Uchunguzi uliofanywa na Taasisi ya Chuo Kikuu cha Brown nchini Marekani umeonyesha kuwa vita eti vya kupambana na ugaidi vilivyoanzishwa na nchi hiyo vimeua watu wapatao nusu milioni katika nchi za Iraq, Afghanistan na Pakistan katika kipindi cha miaka 17 iliyopita.
-
Taliban wanawakata vidole watu waliopiga kura katika uchaguzi wa Bunge
Oct 24, 2018 23:03Kundi la Taliban nchin Afghanistan linawasaka na kuwakata vidole raia walioshiriki katika zoezi la uchaguzi wa Bunge nchini humo.
-
Qassemi: Iran na Afghanistan zina historia kongwe katika uhusiano wa pande mbili
Oct 15, 2018 10:42Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Afghanistan ni jirani muhimu wa Iran na kwamba, historia kongwe iliyoko katika uhusiano wa pande mbili inalazimu nchi hizo kuwa na ushirikiano zaidi katika nyuga mbalimbali.
-
UN: Raia 8,000 wa Afghanistan wameuawa, kujeruhiwa 2018
Oct 10, 2018 22:58Ripoti mpya ya Ujumbe wa Usaidizi wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan (UNAMA) imesema raia zaidi ya elfu nane wa Kiafghani wameuawa na kujeruhiwa katika kipindi cha miezi tisa ya kwanza ya mwaka huu 2018.
-
Kufeli vibaya Marekani nchini Afghanistan
Oct 09, 2018 02:21Sambamba na kumbukumbu ya miaka 17 ya kuvamiwa Afghanistan na Marekani, uchunguzi wa maoni unaonesha kuwa wananchi wengi wa Afghanistan wanaamini kwamba Marekani imeshindwa na kufeli vibaya nchini humo.