Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Wacomoro waandamana kupinga jaribio la Rais wa nchi hiyo la kurefusha utawala wake

    Wacomoro waandamana kupinga jaribio la Rais wa nchi hiyo la kurefusha utawala wake

    Oct 16, 2018 03:19

    Wananchi wa Comoro jana walifanya maandamano na kufunga barabara za mji wa Anjouan wakipinga jitihada zinazofanywa na Rais Azali Assoumani wa nchi hiyo za kutaka kurefusha kipindi cha uongozi wake na kukomesha mfumo wa kuongoza kwa zamu baina ya visiwa vitatu vikuu vinavyounda Jamhuri ya watu wa Comoro.

  • Ethiopia kuanza kuwapa Waafrika viza wakishawasili nchini humo

    Ethiopia kuanza kuwapa Waafrika viza wakishawasili nchini humo

    Oct 09, 2018 03:55

    Rais wa Ethiopia, Mulatu Teshome amesema nchi hiyo karibuni hivi itaanza kuwapa raia wote wa bara Afrika viza mara tu watakapowasili katika nchi hiyo.

  • Dukuduku la viongozi wa Afrika kuhusu kudhulumiwa bara hilo katika Umoja wa Mataifa

    Dukuduku la viongozi wa Afrika kuhusu kudhulumiwa bara hilo katika Umoja wa Mataifa

    Oct 01, 2018 02:10

    Viongozi wengi wa Afrika wamelalamikia vikali utendaji na misimamo ya Umoja wa Mataifa kuhusu masuala na matatizo ya bara hilo na kulalamikia idadi ndogo ya wawakilishi wa Afrika wanaopewa nafasi kama wajumbe katika mashirika ya umoja huo.

  • Katumbi: Matokeo ya uchaguzi wa Kongo DR kuyumbisha uthabiti Afrika

    Katumbi: Matokeo ya uchaguzi wa Kongo DR kuyumbisha uthabiti Afrika

    Sep 23, 2018 04:28

    Moise Katumbi, mwanasiasa wa upinzani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye kwa sasa yuko uhamishoni nchini Ubelgiji ametadharisha kuwa, matokeo ya uchaguzi wa rais utakaofanyika nchini humo mwishoni mwa mwaka huenda yakavuruga amani na uthabiti sio tu katika nchi hiyo bali kote barani Afrika.

  • Trump azishauri nchi za Ulaya kujenga ukuta katika Jangwa la Sahara.

    Trump azishauri nchi za Ulaya kujenga ukuta katika Jangwa la Sahara.

    Sep 21, 2018 23:33

    Katika kuendeleza siasa zake zilizo dhidi ya uhamiaji na huku akiamini kwamba ujenzi wa kuta ndiyo njia bora zaidi ya kukabiliana na suala hilo, Rais Donald Trump wa Marekani amezishauri nchi za Ulaya kujenga ukuta katika Jangwa la Sahara ili kukabiliana na wimbi la wahajiri wa Kiafrika wanaohama nchi zao kuelekea nchi hizo.

  • Wabunge wa upinzani Zimbabwe wasusia hotuba ya Rais Mnangagwa

    Wabunge wa upinzani Zimbabwe wasusia hotuba ya Rais Mnangagwa

    Sep 18, 2018 10:12

    Wabunge wa kambi ya upinzani nchini Zimbabwe mapema leo wameondoka bungeni na kususia hotuba ya Rais wa nchi hiyo, Emmerson Mnangagwa, ikiwa ni ishara ya hasira zao dhidi ya matokeo ya uchaguzi uliozusha utata wa rais ambayo yalimpa ushindi kiongozi wa chama tawala.

  • Qassemi: Uhusiano wa Iran na Afrika umesimama juu ya msingi wa kuheshimiana

    Qassemi: Uhusiano wa Iran na Afrika umesimama juu ya msingi wa kuheshimiana

    Sep 18, 2018 10:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Afrika daima umekuwa ukiheshimu mamlaka ya kitaifa ya kila nchi na kutilia mkazo suala la ustawi na ushirikiano.

  • Rais wa China alipatia bara la Afrika mabilioni ya dola; asema zisitumike katika miradi ya kifisadi

    Rais wa China alipatia bara la Afrika mabilioni ya dola; asema zisitumike katika miradi ya kifisadi

    Sep 03, 2018 22:09

    Rais Xi Jinping wa China jana Jumatatu aliipatia Afrika kitita kingine cha dola bilioni 60 na kusema kuwa makampuni ya Kichina yatahimizwa kuwekeza kiasi kisichopungua chini ya dola bilioni 10 katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.

  • Watoto milioni tano wamefariki kutokana na vita na mapigano barani Afrika

    Watoto milioni tano wamefariki kutokana na vita na mapigano barani Afrika

    Sep 01, 2018 09:37

    Watoto wapatao milioni tano wenye umri chini ya miaka mitano wamefariki dunia kutokana na vita na mapigano ya utumiaji silaha yaliyotokea katika kipindi cha miaka 20 iliyopita kwenye nchi za bara la Afrika.

  • Jitihada za FAO na AfDB za kupunguza umasikini kwa uwekezaji katika kilimo Afrika

    Jitihada za FAO na AfDB za kupunguza umasikini kwa uwekezaji katika kilimo Afrika

    Aug 29, 2018 00:04

    Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO zimekubaliana kuendeleza juhudi za pamoja za kuongeza uwekezaji katika sekta ya kilimo barani Afrika ili kukomesha njaa, na utapia mlo kwa lengo la kupanua wigo wa ustawi na maendeleo barani humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS