-
Waafrika wasisitiza umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 28, 2016 09:40Shakhsia mbalimbali wa Kiafrika wameendelea kutilia mkazo umuhimu wa kufanyika kwa mafanikio na adhama kubwa shughuli za Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina
Jun 28, 2016 03:17Kundi la nchi 54 za bara Afrika limekosoa vikali ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.
-
Nchi za Afrika zaanzisha mpango wa kuwalinda Albino
Jun 21, 2016 03:22Kongamano la siku tatu la kikanda kuhusu ulemavu wa ngozi barani Afrika limehitimishwa nchini Tanzania ambapo mpango wa kwanza kabisa wa utekelezaji umeanzishwa.
-
Bajeti za nchi za Afrika Mashariki na Kati na changamoto zake
Jun 18, 2016 06:41Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC zimesoma bajeti zao huku zikiwa zinakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo kutoongezwa mishahara na kupandisha kodi za bidhaa mbalimbali. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kampala ametuandalia ripoti hii...
-
Vijana: Wanasiasa ndio chanzo cha mizozo na matatizo Afrika
Jun 17, 2016 00:14Idadi kubwa ya vijana barani Afrika wanahisi kuwa chimbuko la matatizo, mikwaruzano na migogoro katika nchi za bara hilo imetokana na wanasiasa wenye uchu wa madaraka na ubinafsi.
-
Tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim yakosa mshindi 2015
Jun 16, 2016 11:01Wakfu wa Mo Ibrahim umetangaza kwamba hakukuwa na mshindi wa tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim mwaka jana 2015.
-
Kongamano la kwanza la UN kuhusu Albino Afrika kufanyika Tanzania
Jun 15, 2016 23:20Kongamano la kwanza la kikanda linalofadhiliwa na Umoja wa Mataifa la kuzungumzia hatua za kuchukua kwa ajli ya watu walemavu wa ngozi (Albino) linatazamiwa kufanyika kwa muda wa siku tatu katika mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam kuanzia hapo kesho Ijumaa.
-
Mgororo wa njaa wayakumba maeneo ya Ziwa Chad
Jun 14, 2016 09:49Kamati ya Kimataifa ya Shirika la Msalaba Mwekundu imetangaza kuwa watu zaidi ya milioni 9 wa eneo la Ziwa Chad barani Afrika wanahitaji misaada ya dharura ya kibinadamu.
-
Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki
Jun 12, 2016 00:00Kenya imeteuliwa kuwa makao makuu ya kanda ya Kituo cha Kuratibu Udhibti wa Magonjwa Afrika, CDC-Africa, ili kufuatilia afya ya umma na changamoto katika nchi za Afrika Mashariki.
-
Dawa zilizopitwa na wakati kutoka Ulaya zahangaisha Waafrika
Jun 06, 2016 23:23Asilimia 42 ya dawa zilizopigwa marufuku katika masoko ya bara Ulaya tangu mwaka 2012, zinauzwa katika nchi za bara Afrika.