Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Waafrika wasisitiza umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

    Waafrika wasisitiza umuhimu wa Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 28, 2016 09:40

    Shakhsia mbalimbali wa Kiafrika wameendelea kutilia mkazo umuhimu wa kufanyika kwa mafanikio na adhama kubwa shughuli za Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Nchi za Kiafrika zakosoa ukandamizaji wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Jun 28, 2016 03:17

    Kundi la nchi 54 za bara Afrika limekosoa vikali ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

  • Nchi za Afrika zaanzisha mpango wa kuwalinda Albino

    Nchi za Afrika zaanzisha mpango wa kuwalinda Albino

    Jun 21, 2016 03:22

    Kongamano la siku tatu la kikanda kuhusu ulemavu wa ngozi barani Afrika limehitimishwa nchini Tanzania ambapo mpango wa kwanza kabisa wa utekelezaji umeanzishwa.

  • Bajeti za nchi za Afrika Mashariki na Kati na changamoto zake

    Bajeti za nchi za Afrika Mashariki na Kati na changamoto zake

    Jun 18, 2016 06:41

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC zimesoma bajeti zao huku zikiwa zinakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo kutoongezwa mishahara na kupandisha kodi za bidhaa mbalimbali. Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kampala ametuandalia ripoti hii...

  • Vijana: Wanasiasa ndio chanzo cha mizozo na matatizo Afrika

    Vijana: Wanasiasa ndio chanzo cha mizozo na matatizo Afrika

    Jun 17, 2016 00:14

    Idadi kubwa ya vijana barani Afrika wanahisi kuwa chimbuko la matatizo, mikwaruzano na migogoro katika nchi za bara hilo imetokana na wanasiasa wenye uchu wa madaraka na ubinafsi.

  • Tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim yakosa mshindi 2015

    Tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim yakosa mshindi 2015

    Jun 16, 2016 11:01

    Wakfu wa Mo Ibrahim umetangaza kwamba hakukuwa na mshindi wa tuzo ya kifahari ya Mo Ibrahim mwaka jana 2015.

  • Kongamano la kwanza la UN kuhusu Albino Afrika kufanyika Tanzania

    Kongamano la kwanza la UN kuhusu Albino Afrika kufanyika Tanzania

    Jun 15, 2016 23:20

    Kongamano la kwanza la kikanda linalofadhiliwa na Umoja wa Mataifa la kuzungumzia hatua za kuchukua kwa ajli ya watu walemavu wa ngozi (Albino) linatazamiwa kufanyika kwa muda wa siku tatu katika mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam kuanzia hapo kesho Ijumaa.

  • Mgororo wa njaa wayakumba maeneo ya Ziwa Chad

    Mgororo wa njaa wayakumba maeneo ya Ziwa Chad

    Jun 14, 2016 09:49

    Kamati ya Kimataifa ya Shirika la Msalaba Mwekundu imetangaza kuwa watu zaidi ya milioni 9 wa eneo la Ziwa Chad barani Afrika wanahitaji misaada ya dharura ya kibinadamu.

  • Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki

    Kenya kuwa makao makuu ya Kituo cha Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika Mashariki

    Jun 12, 2016 00:00

    Kenya imeteuliwa kuwa makao makuu ya kanda ya Kituo cha Kuratibu Udhibti wa Magonjwa Afrika, CDC-Africa, ili kufuatilia afya ya umma na changamoto katika nchi za Afrika Mashariki.

  • Dawa zilizopitwa na wakati kutoka Ulaya zahangaisha Waafrika

    Dawa zilizopitwa na wakati kutoka Ulaya zahangaisha Waafrika

    Jun 06, 2016 23:23

    Asilimia 42 ya dawa zilizopigwa marufuku katika masoko ya bara Ulaya tangu mwaka 2012, zinauzwa katika nchi za bara Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS