-
Sisitizo la kuendeshwa mapambano ya pande zote dhidi ya ugaidi barani Afrika
Jun 05, 2016 06:28Rais wa Senegal amezitolea mwito serikali mbalimbali kushirikiana na kukusanya nguvu na nyezo zote ili kupambana na makundi yenye misimamo ya kufurutu ada.
-
Umoja wa Afrika wakosoa kasi ndogo ya ufungamano barani Afrika
May 30, 2016 03:02Umoja wa Afrika umelalamika kuhusu kasi ndogo ya kuelekea kwenye mafungamano ya bara la Afrika.
-
Iran yasisitiza kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika
May 26, 2016 02:04Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza azma yake ya kuimarisha uhusiano wa pande zote na bara la Afrika.
-
Siku ya Afrika inaadhimishwa leo mjini Tehran
May 25, 2016 03:01Sherehe za kuadhimisha Siku ya Afrika zinafanyika leo hapa mjini Tehran katika ofisi ya utafiti wa kisiasa na kimataifa ya Wizara ya Mambo ya Nje.
-
Kirusi hatari cha Zika charipotiwa Afrika kwa mara ya kwanza
May 20, 2016 11:55Kirusi hatari cha Zika kimeripotiwa kuibuka barani Afrika kwa mara ya kwanza katika Visiwa vya Cape Verde magharibi mwa bara hilo.
-
Msalaba Mwekundu: Watu milioni 31 wanahitaji misaada ya dharura kusini mwa Afrika
May 17, 2016 23:03Mashirika ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu yamesema yanahitaji dola milioni 110 za Marekani ili kuzisaidia nchi za kusini mwa Afrika, zinazokabiliwa na hali mbaya ya ukosefu wa chakula na lishe duni iliyosababishwa na ukame.
-
UN: Mamilioni ya watu wanahitajia misaada ya chakula katika eneo la Ziwa Chad
May 16, 2016 23:46Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mamilioni ya watu katika eneo la Ziwa Chad barani Afrika wanahitajia misaada ya chakula.
-
AU yaelezea kusikitishwa na kiwango kikubwa cha ufisadi barani Afrika
May 08, 2016 03:05Umoja wa Afrika AU umeelezea kusikitishwa sana na kiwango cha juu cha ufisadi katika nchi za bara hilo.
-
Rwanda: Kongamano la uchumi Kigali kuangazia teknolojia na mfumo wa dijitali
May 07, 2016 03:15Rwanda inatazamiwa kuwa mwenyeji wa duru ya 26 ya Kongamano la Uchumi Duniani WEF mapema wiki ijayo. Marais, wajasiriamali na wawekezaji zaidi ya 1,200 wa bara hilo wanatazamiwa kushiriki kongamano hilo litakalofanyika Kigali kati ya Mei 11 na 13.
-
Rouhani: Iran inafadhilisha kuwa na uhusiano mzuri na nchi za Afrika
May 03, 2016 23:36Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili linafadhilisha kuwa na mahusiano mazuri na nchi za Afrika ikiwemo Togo.