-
Afrika Kusini yaiomba Mahakama ya ICJ: Israel 'lazima izuiwe'
May 17, 2024 04:52Afrika Kusini imeitaka Mahakama Kuu ya Umoja wa Mataifa iamuru kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Rafah kama sehemu ya kesi yake iliyofungua mjini The Hague inayoushutumu utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mauaji ya kimbari, ikisema utawala huo "lazima uzuiwe" ili kunusuru maisha ya Wapalestina.
-
Misri yaungana na Afrika Kusini katika mashtaka dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
May 13, 2024 02:54Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuungana na mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaofanya mauaji katika Ukanda wa Gaza.
-
Afrika Kusini yaandaa mkutano wa kimataifa dhidi ya ubaguzi wa rangi wa Israel
May 10, 2024 07:25Mkutano wa Kimataifa dhidi ya Ubaguzi wa Rangi wa Israel huko Palestina ulitazamiwa kuanza leo Ijumaa katika Jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini na utaendelea na kazi zake hadi tarehe 12 Mei mwaka huu.
-
Baadhi ya manusura watolewa chini ya vifusi baada ya jengo kuporomoka Afrika Kusini
May 08, 2024 08:13Wafanyakazi wa huduma za uokoaji nchini Afrika Kusini leo walikuwa na matumaini ya kuwapata watu wengine wakiwa hai baada ya ripoti y awali kueleza kuwa waliwasiliana na angalau wafanyakazi 11 waliokwama kwenye vifusi baada ya jengo kuporomoka nchini humo Jumatatu wiki hii.
-
Mjukuu wa Mandela: Afrika Kusini imepata msukumo kutokana na uthabiti wa Wapalestina
Apr 28, 2024 08:20Mjukuu wa Nelson Mandela amesema Afrika Kusini imetiwa moyo na kupata msukumo kutokana na istikama na uthabiti wa Wapalestina; na kwa sababu hiyo ikaileta hoja ya piganio lao mbele ya Jamii ya Kimataifa.
-
Tume ya Uchaguzi Afrika Kusini yaitaka mahakama ya juu kutatua suala la kugombea kwa Zuma
Apr 12, 2024 23:15Tume ya Uchaguzi ya Afrika Kusini imesema kuwa imekata rufaa katika Mahakama ya Juu zaidi nchini humo ikiiomba kutoa uamuzi kuhusu iwapo rais wa zamani wa nchi hiyo, Jacob Zuma, anaweza kuwa mgombea katika uchaguzi mkuu mwezi Mei au la.
-
Uchunguzi wa maoni: Uungaji mkono kwa ANC Afrika Kusini unazidi kupungua
Apr 11, 2024 04:24Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Afrika Kusini umekuwa na habari mbaya zaidi kwa Rais Cyril Ramaphosa na chama chake tawala cha African National Congress (ANC) baada ya kuonyesha kuwa uungaji mkono kwa chama hicho unazidi kupungua.
-
Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran: Jinai za Israel Ukanda wa Gaza ni mauaji ya kimbari
Apr 09, 2024 04:27Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amesema kuwa jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ukanda wa Gaza ni mauaji ya kimbari.
-
Ushiriki wa Ireland katika kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza
Mar 30, 2024 01:01Ireland ilitangaza Jumatano, Machi 27, kwamba itashiriki katika kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya utawala wa Isarel kutokana na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo huko Gaza.
-
Watu 45 wafariki dunia katika ajali ya basi la wafanyaziara wa Pasaka nchini Afrika Kusini
Mar 29, 2024 03:05Watu wasiopungua 45 wamefariki dunia nchini Afrika Kusini wakati basi lililokuwa limebeba wafanyaziara wa Pasaka lilipotumbukia kwenye daraja jana Alhamisi.