Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika Kusini

  • Pretoria: Tunatiwa wasi wasi na mauaji ya kigaidi ya Israel

    Pretoria: Tunatiwa wasi wasi na mauaji ya kigaidi ya Israel

    Sep 29, 2024 10:45

    Afrika Kusini imetoa wito wa kusitishwa kwa mapigano mara moja nchini Lebanon, ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel ulianza mashambulio ya anga hivi karibuni, na kuua mamia ya raia huku maelfu ya wengine wakilazimika kuyahama makazi yao.

  • Papa awataka Wakatoliki Marekani wachague 'uovu ulio afadhali kidogo' kati ya Trump na Harris

    Papa awataka Wakatoliki Marekani wachague 'uovu ulio afadhali kidogo' kati ya Trump na Harris

    Sep 13, 2024 23:58

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amewahimiza Wakatoliki nchini Marekani wakapige kura katika uchaguzi wa Novemba, akisema wanapaswa "kuchagua uovu ulio afadhali kidogo" huku akiwakosoa wagombea wote wawili wakuu wa kinyang'anyiro cha urais wa nchi hiyo.

  • Wafanyakazi 6 wa UN miongoni mwa watu 18 waliouliwa katika shambulio la kinyama la Israel Ghaza

    Wafanyakazi 6 wa UN miongoni mwa watu 18 waliouliwa katika shambulio la kinyama la Israel Ghaza

    Sep 12, 2024 04:10

    Wafanyakazi sita wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) ni miongoni mwa watu 18 waliouawa hapo jana katika shambulizi la kinyama lililofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika skuli inayosimamiwa na Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza ya Kati.

  • Ofisi ya Rais Afrika Kusini: Tutafuatilia mashtaka yetu dhidi ya mauaji ya kimbari ya Israel

    Ofisi ya Rais Afrika Kusini: Tutafuatilia mashtaka yetu dhidi ya mauaji ya kimbari ya Israel

    Sep 11, 2024 22:59

    Ofisi ya Rais wa Afrika Kusini imetangaza katika taarifa yake kwamba, itaendelea kufuatilia kesi ya mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) hadi hukumu yake itakapotolewa.

  • Wakulima wa Afrika Kusini watuhumiwa kuuwa wanawake 2, na kisha miili yao kuwalisha nguruwe

    Wakulima wa Afrika Kusini watuhumiwa kuuwa wanawake 2, na kisha miili yao kuwalisha nguruwe

    Sep 10, 2024 23:42

    Wanaume watatu nchini Afrika Kusini wanatuhumiwa kuwauwa wanawake wawili na kisha miili yao kuwalisha nguruwe katika shamba lao. Kesi hii tajwa imeibua ghadhabu na hasira miongoni mwa jamii ya Afrika Kusini.

  • Wafuasi wa chama cha Jacob Zuma wapoteza maisha katika ajali

    Wafuasi wa chama cha Jacob Zuma wapoteza maisha katika ajali

    Aug 31, 2024 23:25

    Wafuasi sita wa chama cha upinzani cha MK kinachoongozwa na Jacob Zuma nchini Afrika Kusini, wamepoteza maisha kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea siku ya Jumamosi, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanaharakati waitaka Afrika Kusini iiwekee Israel vikwazo vya biashara

    Wanaharakati waitaka Afrika Kusini iiwekee Israel vikwazo vya biashara

    Aug 25, 2024 22:59

    Wanaharakati wameitaka Afrika Kusini iuwekee utawala wa Kizayuni wa Israel vikwazo vya kibiashara na kusimamisha mara moja mauzo ya nje ya bidhaa zake kwa utawala huo pandikizi.

  • Takriban wahamiaji 100 wa Ethiopia waokolewa na polisi nchini Afrika Kusini

    Takriban wahamiaji 100 wa Ethiopia waokolewa na polisi nchini Afrika Kusini

    Aug 05, 2024 10:15

    Polisi ya Afrika Kusini imeeleza kuwa imewaokoa wahamiaji 90 wa Kiethiopia waliokuwa wakishiliwa kwenye nyumba moja kinyume na ridhaa yao katika mji wa Johannesburg.

  • Afrika Kusini yailaani Israel kwa kumuua kigaidi Ismail Haniyah

    Afrika Kusini yailaani Israel kwa kumuua kigaidi Ismail Haniyah

    Aug 01, 2024 23:14

    Serikali ya Afrika Kusini imelaani vikali mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniyah.

  • Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina

    Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina

    Jul 22, 2024 07:28

    Mjukuu wa Nelson Mandela, shujaa na kiongozi wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Harakati ya Ansarullah na vikosi vya wanajeshi wa Yemen kushadidisha operesheni zao dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watoto na wanawake wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS