Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Jeshi la Algeria lasisitiza kuyapatia ufumbuzi matatizo na kuwaunga mkono wananchi

    Jeshi la Algeria lasisitiza kuyapatia ufumbuzi matatizo na kuwaunga mkono wananchi

    Mar 19, 2019 03:35

    Mkuu wa vikosi vya jeshi la Algeria amesisitiza kuwa vikosi vya nchi hiyo vitaendelea kuwa pamoja na wananchi.

  • Waziri Mkuu wa Algeria aanza mazungumzo ya kuunda serikali mpya

    Waziri Mkuu wa Algeria aanza mazungumzo ya kuunda serikali mpya

    Mar 17, 2019 21:56

    Waziri Mkuu wa Algeria ameanza mazungumzo ya kuunda serikali mpya kama hatua iliyochukuliwa ili kuwaridhisha wananchi wanaofanya maandamanao wakiomtaka Rais wa nchi hiyo, Abdelaziz Bouteflika na serikali yake wang'atuke madarakani.

  • Umoja wa Afrika wasisitiza ulazima wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa Algeria

    Umoja wa Afrika wasisitiza ulazima wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa Algeria

    Mar 17, 2019 13:33

    Umoja wa Afrika (AU) umesisitiza kwamba kuna ulazima wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini Algeria.

  • Maafisa wa chama tawala Algeria wajitenga na Rais Bouteflika

    Maafisa wa chama tawala Algeria wajitenga na Rais Bouteflika

    Mar 16, 2019 01:12

    Maafisa waandamizi wa chama tawala nchini Algeria cha FNL wamemtaka Rais Abdelaziz Bouteflika wa nchi hiyo kuchukua hatua ya 'kihistoria', hatua nyingine ambayo inaashiria kuwa chama hicho kimeendelea kujiweka mbali na Bouteflika.

  • Algeria; kuendelea mgogoro au kufanya harakati katika njia ya demokrasia?

    Algeria; kuendelea mgogoro au kufanya harakati katika njia ya demokrasia?

    Mar 12, 2019 22:55

    Baada ya wiki kadhaa za malalamiko, maandamanao na kushadidi hali hiyo katika siku za hivi karibuni baada ya Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kutangaza kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tano mtawalia, hatimaye kiongozi huyo amefutilia mbali uamuzi wake huo.

  • Bouteflika alazimika kutengua azma yake ya kuwania urais Algeria

    Bouteflika alazimika kutengua azma yake ya kuwania urais Algeria

    Mar 11, 2019 23:51

    Baada ya mashinikizo na maandamano ya karibu mwezi mmoja, hatimaye Rais Abdelaziz Bouteflka wa Algeria amefutilia mbali azma yake ya kugombea tena urais katika uchaguzi ujao nchini humo.

  • Mahakimu zaidi ya 1,000 wa Algeria: Hatutasimamia uchaguzi wa rais endapo Rais Bouteflika atagombea

    Mahakimu zaidi ya 1,000 wa Algeria: Hatutasimamia uchaguzi wa rais endapo Rais Bouteflika atagombea

    Mar 11, 2019 13:19

    Mahakimu zaidi ya elfu moja nchini Algeria wamejiunga na wimbi la upinzani la kupinga rais wa nchi hiyo Abdelaziz Bouteflka kugombea tena katika uchaguzi wa urais unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao na kusisitiza kuwa hawatasimamia uchaguzi huo endapo kiongozi huyo atakuwa mmoja wa wagombea.

  • Maulamaa nchini Algeria waonya juu ya uingiliaji wa kigeni katika mzozo wa sasa nchini humo

    Maulamaa nchini Algeria waonya juu ya uingiliaji wa kigeni katika mzozo wa sasa nchini humo

    Mar 11, 2019 04:42

    Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu nchini Algeria imetahadharisha kuhusu aina yoyote ya uingiliaji wa kigeni katika matukio ya ndani ya nchi hiyo.

  • Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa

    Rais Bouteflika kurejea nchini Algeria leo, maandamano yachachamaa

    Mar 10, 2019 10:51

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria anatazamiwa kurejea katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika leo Jumapili, baada ya kuwa nje ya nchi kwa muda wa wiki mbili kwa ajili ya matibabu.

  • Algeria yafunga vyuo vikuu, wanafunzi walaumiwa kuchochea maandamano

    Algeria yafunga vyuo vikuu, wanafunzi walaumiwa kuchochea maandamano

    Mar 10, 2019 03:48

    Serikali ya Algeria Jumamosi imeamuru vyuo vikuu vyote nchini humo vifungwe mapema kabla ya kuanza likizo ya msimu wa machipuo ili kujaribu kuzima kasi ya maandamano yanayoongozwa na wanachuo dhidi ya Rais Abdelaziz Bouteflika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS