Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesisitizia udharura wa kufanyiwa mabadiliko muundo wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa akisisitiza kuwa, chombo hicho kimeifelisha dunia kwa kutofanya kazi inavyotakiwa.
Asasi na jumuiya 41 zenye mfungamano na wanawake Afrika, zimelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kufuatilia na kushughulikia jinai dhidi ya raia nchini Sudan zinazofanywa na pande mbili hasimu katika vita vyao.
Rais wa Kazakhstan ametoa mwito wa kufanyiwa mageuzi muundo wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Kansela Olaf Scholz wa Ujerumani amesema nchi yake inaunga mkono mpango wa bara la Afrika kuwa na uwakilishi wa kudumu kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha uamuzi wa kuongezea muda wa Operesheni Maalumu ya Kulinda Amani ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) kwa mwaka mmoja, hadi tarehe 15, Machi mwaka 2024.
Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amekataa kujibu suali aliloulizwa kuhusu Palestina na Ukraine.
Jumatatu ya tarehe 20 Februari Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipasisha rasimu ya azimio linalolaani uamuzi wa serikali ya Israel yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya tisa katika ardhi za Wapalestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha rasimu ya azimio linalolaani uamuzi wa serikali ya Israel yenye misimamo ya kufurutu ada ya Benjamin Netanyahu wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya tisa katika ardhi za Wapalestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunga mkono wito wa kutolewa kiti cha kudumu cha Baraza la Usalama kwa bara la Afrika.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani vikali shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu msikitini Pakistan.