Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Boko Haram

  • UN: Tishio la Boko Haram Nigeria lasababisha watu 30 elfu kutoroka nchi

    UN: Tishio la Boko Haram Nigeria lasababisha watu 30 elfu kutoroka nchi

    Jan 29, 2019 12:41

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 30,000 wamekimbia makazi yao katika mji wa Rann kaskazini mwa Nigeria na kuingia katika nchi jirani ya Cameroon kutokana na wasiwasi wa kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.

  • Boko Haram: Tumeua askari 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram: Tumeua askari 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Jan 28, 2019 04:40

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram limedai kuwa wanachama wake wametekeleza shambulizi katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua askari 30 wa nchi hiyo.

  • Jinai za magaidi wa Boko Haram zimeshika kasi nchini Nigeria

    Jinai za magaidi wa Boko Haram zimeshika kasi nchini Nigeria

    Jan 10, 2019 21:43

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, magaidi wa Boko Haram wanawalazimisha wananchi wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kuzihama nyumba zao.

  • Wanigeria zaidi ya elfu 30 wakimbia makazi yao kaskazini mwa nchi hiyo

    Wanigeria zaidi ya elfu 30 wakimbia makazi yao kaskazini mwa nchi hiyo

    Jan 10, 2019 04:41

    Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa makumi ya maelfu ya watu wamelazimika kukimbia nyumba na makazi yao huko kaskazini mwa Nigeria kutokana na kushadidi ghasia na mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Wanajeshi 14 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigera

    Wanajeshi 14 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigera

    Dec 26, 2018 03:54

    Wanajeshi wasiopungua 14 wameuawa nchini Nigeria wameuawa kufuatia shambulio la kkundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Yobe kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Boko Haram wafanya shambulizi jingine mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram wafanya shambulizi jingine mashariki mwa Nigeria

    Dec 17, 2018 23:56

    Genge la kigaidi na la ukufurishaji la Boko Haram limevamia na kushambulia kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuchoma moto nyumba za wanakijiji baada ya kuwashambulia kwa risasi.

  • Amnesty yaitaka ICC ifanye uchunguzi kuhusu mateso yanayofanywa na Boko Haram

    Amnesty yaitaka ICC ifanye uchunguzi kuhusu mateso yanayofanywa na Boko Haram

    Dec 10, 2018 12:40

    Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ukandamizaji na mateso dhidi ya binadamu yanayofanywa na magaidi wa Boko Haram pamoja na jeshi la Nigeria kwenye operesheni za pande hizo mbili na kuilaumu Abuja kwa kutotekeleza ipasavyo majukumu yake katika kulinda haki za binadamu.

  • Polisi ya Nigeria yaua 'majambazi' 100 jimboni Zamfara

    Polisi ya Nigeria yaua 'majambazi' 100 jimboni Zamfara

    Dec 01, 2018 04:38

    Polisi ya Nigeria imedai kuwa imefanikiwa kuwaangamiza majambazi 100 katika operesheni iliyofanyika katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi.

  • Magaidi wa Boko Haram Nigeria sasa watumia droni na wapiganaji wa kigeni

    Magaidi wa Boko Haram Nigeria sasa watumia droni na wapiganaji wa kigeni

    Nov 30, 2018 02:52

    Magaidi wakufurishaji wa kundi Boko Haram nchini Nigeria sasa wanatumia ndege zisizo na rubani au droni katika kufanya hujuma zao za kigaidi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wasichana 18 watekwa nyara na watu waliojizatiti kwa silaha Niger

    Wasichana 18 watekwa nyara na watu waliojizatiti kwa silaha Niger

    Nov 25, 2018 04:40

    Wasichana wasiopungua 18 wameripotiwa kutekwa nyara na watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha kusini mashariki mwa Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS