Nov 20, 2018 08:04
Waandishi wa habari, wakosoaji wa serikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Nigeria wamelijia juu jeshi la nchi hiyo kwa kutangaza kuwa limemuua kamanda mwandamizi wa kundi la kigaidi la Boko Haram, licha ya kutoa taarifa kama hiyo mwaka jana.