Jun 08, 2017 07:56
Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wameshambulia vijiji vilivyoko kando kando ya mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria wakati ambapo Waislamu wa mji huo walikuwa majumbani kwao wakila futari.