Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

chuki dhidi ya Uislamu

  • Hizbullah yasema Trump ni mtu mwenye chuki na ubaguzi

    Hizbullah yasema Trump ni mtu mwenye chuki na ubaguzi

    Nov 23, 2016 08:05

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuchaguliwa mwanasiasa mwenye chuki na ubaguzi nchini Marekani kwa upande mmoja; na maandamano ya nchi nzima ya kulalamikia ushindi wa bilionea huyo kwa upande mwingine, ni dhihirisho kuwa nchi hiyo iko katika mgogoro mkubwa.

  • Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Nov 23, 2016 04:17

    Zaidi ya ya vituo vya Kiislamu na misikiti 100 imehujumiwa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne iliyopita.

  • Ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki za kidini dhidi ya Waislamu nchini Marekani

    Ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki za kidini dhidi ya Waislamu nchini Marekani

    Oct 24, 2016 06:18

    Ripoti mpya iliyotolewa inaonyesha kuwa, uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Waislamu umeongezeka kwa kiwango kikubwa nchini Marekani.

  • Askari waliostaafu Marekani watishia kuwachinja Waislamu Texas

    Askari waliostaafu Marekani watishia kuwachinja Waislamu Texas

    Aug 09, 2016 13:47

    Wanajeshi waliostaafu katika jimbo la Texas nchini Marekani wametishia kuwakata vichwa kwa mapanga Waislamu watakaoenda kutekeleza ibada ya swala katika msikiti mmoja jimboni hapo.

  • Kulaaniwa chuki dhidi ya Uislamu katika bunge la California, Marekani

    Kulaaniwa chuki dhidi ya Uislamu katika bunge la California, Marekani

    Aug 08, 2016 13:20

    Bunge la Jimbo la California nchini Marekani limepasisha muswada wa kulaani vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu.

  • Rouhani: Ugaidi kwa jina la Uislamu ni kwa faida ya maadui wa dini hii

    Rouhani: Ugaidi kwa jina la Uislamu ni kwa faida ya maadui wa dini hii

    Aug 08, 2016 07:45

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyakosoa vikali makundi ya kigaidi yanayoendeleza harakati zao za kikatili kwa jina la Uislamu na kusisitiza kuwa vitendo hivyo vinafanyika kwa maslahi na manufaa ya maadui na wanaoeneza chuki dhidi ya dini hiyo tukufu.

  • Mme na mke washushwa kwenye ndege Marekani, kisa Waislamu

    Mme na mke washushwa kwenye ndege Marekani, kisa Waislamu

    Aug 06, 2016 07:46

    Mwanamme mmoja na mkewe wa Marekani wameshushwa kwenye ndege ya shirika la Delta Airlines baada ya wahudumu kadhaa wa ndege hiyo kuwa na wasi wasi nao kwa kuwa ni Waislamu.

  • IOM yakosoa matamshi ya Trump dhidi ya wageni

    IOM yakosoa matamshi ya Trump dhidi ya wageni

    Jul 24, 2016 02:52

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limeeleza wasiwasi wake kuhusu matamshi yaliyotolewa na mgombea kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Ttrump kuhusu raia wa kigeni na kusema matamshi hayo yanachochea chuki dhidi ya wageni.

  • Jumuiya za Kiislamu Marekani zapinga propaganda chafu katika vitabu vya shule

    Jumuiya za Kiislamu Marekani zapinga propaganda chafu katika vitabu vya shule

    Jul 13, 2016 15:19

    Kundi linalojumuisha jumuiya 15 kubwa za Kiislamu nchini Marekani limelalamikia kitendo cha kuwekwa propaganda chafu dhidi ya Uislamu katika vitabu vya shule za jimbo la California.

  • $206m zatumika kueneza hofu na chuki dhidi ya Uislamu Marekani

    $206m zatumika kueneza hofu na chuki dhidi ya Uislamu Marekani

    Jun 22, 2016 04:05

    Imebainika kuwa kueneza chuki na woga dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Marekani kumegeuzwa kuwa biashara yenye kugharimu mamilioni ya dola za nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS