Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • Umoja wa Afrika waitaka Marekani ihitimishe vikwazo na mzingiro dhidi ya Cuba

    Umoja wa Afrika waitaka Marekani ihitimishe vikwazo na mzingiro dhidi ya Cuba

    Feb 09, 2021 02:57

    Umoja wa Afrika umetaka kuhitimishwa vikwazo na mzingiro wa kiuchumi, kibiashara na kifedha iliowekewa Cuba kupitia amri ya utekelezaji iliyosainiwa mwaka 1962 na aliyekuwa rais wa wakati huo wa Marekani John F. Kennedy.

  • Hatua mpya ya serikali ya Trump dhidi ya Cuba

    Hatua mpya ya serikali ya Trump dhidi ya Cuba

    Jan 13, 2021 07:00

    Ikiwa ni katika kudumisha siasa zake za uhasama dhidi ya serikali za mrengo wa kushoto katika eneo la Amerika ya Latini, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine imelirejesha jina la Cuba katika orodha ya nchi zinazodaiwa kuunga mkono ugaidi.

  • Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'

    Iran yailaani Marekani kwa kuiweka Cuba katika orodha ya 'waungaji mkono ugaidi'

    Jan 13, 2021 04:42

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani kuiweka Cuba katika orodha ya nchi ambazo eti zinaunga mkono ugaidi. Iran aidha imesema inafungamana na Cuba katika mapamano yake dhidi ya madola ya kibeberu duniani.

  • Chanjo ya corona ya Iran na Cuba yapasi majaribio ya awali ya mwanadamu

    Chanjo ya corona ya Iran na Cuba yapasi majaribio ya awali ya mwanadamu

    Jan 11, 2021 04:36

    Mshauri wa Waziri wa Afya wa Iran ametangaza habari ya kufanyika kwa mafanikio hatua ya awali ya majaribio ya mwanadamu ya chanjo ya COVID-19 iliyotengenezwa na Iran kwa kushirikiana na Cuba.

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana

    Nov 07, 2020 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambaye yuko nchini Cuba kwa ziara rasmi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Cuba Bruno Rodriguez.

  • Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Oct 08, 2020 23:07

    Serikali za Somalia na Cuba zimekanusha madai ya kuachiwa huru madaktari wawili wa Cuba waliotekwa nyara na kundi la kigaidi la al-Shabaab mwaka jana nchini Kenya.

  • Cuba na Venezuala zalaani ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi

    Cuba na Venezuala zalaani ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi

    May 30, 2020 23:52

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Cuba na Venezula wamelaani vikali ukatili wa polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi pamoja na ujumbe wa kuchochea utumiaji mabavu alioutoa Rais Donald Trump.

  • Kuendelea mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela; kuwekewa Caracas vikwazo vipya

    Kuendelea mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela; kuwekewa Caracas vikwazo vipya

    Dec 05, 2019 03:43

    Serikali ya Marekani imeendeleza mashinikizo yake dhidi ya Venezuela ambapo imeiwekea nchi hiyo vikwazo vipya katika sekta ya viwanda na biashara ya mafuta.

  • Vikwazo vya Marekani; uchokozi wa wazi dhidi ya nchi nyingine

    Vikwazo vya Marekani; uchokozi wa wazi dhidi ya nchi nyingine

    Oct 06, 2019 07:42

    Mashinikizo ya Marekani dhidi ya Cuba na Venezuela yanazidi kushtadi, huku nchi hizo zikiwa zinaendelea kushikamana na malengo yao na kusisitizia juu ya kuimarishwa ushikamano wao.

  • Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine

    Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine

    Sep 28, 2019 04:29

    Marekani ina rekodi kubwa zaidi ya kutumia aina mbali mbali za vikwazo dhidi ya nchi zingine kwa ajili ya kufikia malengo ya siasa zake za nje. Ushadidishaji vikwazo unaofanywa na Washington katika kipindi cha urais wa Donald Trump umekuwa ukipingwa na kulaaniwa kimataifa. Pamoja na hayo kinachoendelea kushuhudiwa kila uchao ni kutangazwa vikwazo vingine vipya vya Marekani dhidi ya nchi zingine duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS