Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Askari wa jeshi la majini la Uingereza ajiunga na Daesh

    Askari wa jeshi la majini la Uingereza ajiunga na Daesh

    May 08, 2016 22:59

    Imearifiwa kuwa askari mmoja wa jeshi la majini la Uingereza ameondoka nchini na kuelekea Syria kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    May 06, 2016 09:33

    Watu watano wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini la kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Misrata, magharibi mwa Libya.

  • Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    May 01, 2016 23:33

    Takwimu za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya watu waliouawa katika machafuko na wimbi la mashambulizi ya kigaidi nchini Iraq mwezi uliopita wa Aprili ni watu 741.

  • Iran: Dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi

    Iran: Dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi

    Apr 29, 2016 23:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeonya kuhusu kuenea ugaidi na misimamo mikali duniani na kusema jamii ya kimataifa inapasa kushirikiana kukabiliana na uovu huo.

  • Wasiwasi wa Daesh kupata silaha za kemikali

    Wasiwasi wa Daesh kupata silaha za kemikali

    Apr 25, 2016 22:05

    Jumuiya ya Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) imetahadharisha kwamba kuna uwezekano kundi la kigaidi la Daesh likawa na silaha za kemikali.

  • Watu 12 wauawa katika  hujuma za kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Watu 12 wauawa katika hujuma za kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Apr 24, 2016 00:02

    Kwa akali watu 12 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi mawili ya bomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Watu 9 wauawa katika hujuma yamsikitini Iraq

    Watu 9 wauawa katika hujuma yamsikitini Iraq

    Apr 22, 2016 12:56

    Watu wasiopungua tisa wameuawa na wengine zaidi ya 25 kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka ndani ya msikiti mmoja katika eneo la Radwaniyah kusini magharibi mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Daesh waua wanawake 250 huko Mosul nchini Iraq

    Daesh waua wanawake 250 huko Mosul nchini Iraq

    Apr 21, 2016 03:55

    Maafisa wa kikurdi nchini Iraq wametangaza kuwa hivi karibuni magaidi wa kitakfiri wa Daesh wamewaua kinyama wanawake wapatao 250 katika ngome yao kuu huko Mosul kaskazini mwa Iraq. Inasemekana kuwa wanawake hao waliuawa kwa kukataa kutumiwa na magaidi hao kama watumwa wa ngono.

  • Daesh: Ikhwanul Muslimin ya Misri ni makafiri na mamurtadi

    Daesh: Ikhwanul Muslimin ya Misri ni makafiri na mamurtadi

    Apr 14, 2016 09:54

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeitaja harakati kuu ya Waislamu wa Kisunni nchini Misri ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni kundi la makafiri walioritadi na kuuasi Uislamu.

  • Kundi la kigaidi lenye uhusiano na Daesh laangamizwa Tunisia

    Kundi la kigaidi lenye uhusiano na Daesh laangamizwa Tunisia

    Apr 12, 2016 23:48

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Tunisia imesema kuwa imelikamata kundi moja la kigaidi katika mkoa wa Bizerte kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS